Samehe tu 7 mara 70! Hakuna namna. Ulitakiwa kuusoma mchezo kuanzia mwanzo. Sasa wewe ukawa unatoa tu kila uisikiapo sauti yake nzuri na ya kumtoa nyoka pangoni!Utapeli ulikua hivi.
Nilianzisha mahusiano nae nikiwa kwenye plan ya kuanzisha office ya kazi na nilijichanga sana kutafuta hela kwa ajili ya lan hio.
Mimi nilikua muwazi kuhusu plan yangu hio na niliamini kua ni mwenza wangu wa maisha.
Mimi nilimuamini kwasababu ya upendo wetu na jinsi tulivokua tunatambulishana kwa ndugu zetu nimeenda kwa ndugu zake.
Utapeli upo hapa
Alinambia kuna nyumba kanunua hivi karibuni na alikua analipia kwa awamu, muda huo niloanzasha mahusiano nae ndo alikua anakaribia kumaliza deni hilo.
Lakini yeye anaishi nyumbani kwao na nyumba tayari amekabidhiwa, hapo kwenye nyumba aloinunua alimuacha kaka mmoja awe anaishi ili nyumba iwe na mtu, kaka huyo alikua pia anashughulika na mambo yote ya pale.
Aliichokua anakifanya ananipigia simu mimi kuniambia nimtumie hela kaka ili baadhi ya mahitaji yafanikiwe, nilikua natoa hela kwasababu aliniaminisha kua hela zake zote alizitumia kwaajili ya kununua nyumba hio na mimi nilikua nampatia hizo hela hizo alizohitaji muda huo.
Nikimwambia nataka kuiona nyumba hio alinambia kua anaitaji anifanyie saprazi, kwahio sikupata kuiona nyumba hio, nipo nasubiria sapraizi lakini muda umekua mrefu.
Kisha nikagundua kua kumbe hakununua nyumba na hakuna kaka bali nilikua namtumia hela wakala wa Mpesa ambae yupo karibu nae nayy anaenda kuzifata hela hizo. Nikajaribu kupiga namba za mtu ambae alikua ananitumia ili nitume hela kwa namba hio, nikapata ukweli wote kuhusu yeye. Kiukweli alidanganya kila kitu na kikubwa zaidi alinitapeli. Ushahidi wa maongezi yetu wote upo kwa voce call hadi kwa text.
Kwangu mm nilikua na kazi na seheme yangu ya kazi, bali nilikua sina mwenza muda huo
Alitumia njia hio mkuu
Kaka ulitapeliwa kipumbavu sanaaSuprize..
Wapo ila mpaka utembee na wanaume wengi tofauti tofauti ndio unaweza kupata ngekewa ya kukutana na mtu wako mmoja kama mleta mada. Ni kama "jackpot bingo", biko, tatu mzuka, patapata, bahati nasibu ya taifa tu kadiri unavyocheza mara nyingi ndivyo unapoongeza nafasi ya kushinda. Kwa hiyo hakuna cha bahati wala nini wewe jilipue tu kila anayekuja mbele yako twende nina hakika baada ya muda utakuwa na wewe umepata wako kama mleta mada. Vinginevyo njia rahisi mwendee mleta mada DM fasta uchukue nafasi iliyoachwa wazi kwani mleta mada hakusema kama kuna mwingine kashachukua nafasi.Wanawake wenzangu wana bahati sana mie mbona siwaoni hao wanaume wa hivyo jamani
Umenikumbusha assist za JFNimecheka hapo kwenye assist
Hahaaa hapa ndio nimeelewa, Niki relate na ule Uzi.Kiasi cha pesa ulichotapeliwa please!! Ndiyo ile laki 4?
Hahaaa hapa ndio nimeelewa, Niki relate na ule Uzi.
N. B siku zote kwenye mahusiano tutimize malengo yetu kuliko malengo ya wapita njia loh
Mods wa JF hawakumtendea haki huyo mleta mada kabisa hafu hawakumfungia huyo member had akafungua Uzi kuwa kafiwa Ili aonewe huruma na asisakamwe kwa utapeli wake, and it seems huyo kaka ana mwanamke mwingine ndo yakazaa hayo, eeh bidada akamloge au asante mazima, ila ingekuwa Mimi angezitapika hizo hela wallahmuanzisha uzi pesa yake bado inamuuma. Namuonea huruma kusema kweli. Pesa katiwa ndani, kugegedwa kagegedwa na jamaa anamletea UTEMI kwenye pesa yake. Maskini kaogopa kufungiwa tena kaja na ID mpya na baadhi ya facts kaamua kuzificha.
Kabisa.. Kabisa...hahahahaha JF is never BORING.
hahahahahaha you nailed her sorry a55Wapo ila mpaka utembee na wanaume wengi tofauti tofauti ndio unaweza kupata ngekewa ya kukutana na mtu wako mmoja kama mleta mada. Ni kama "jackpot bingo", biko, tatu mzuka, patapata, bahati nasibu ya taifa tu kadiri unavyocheza mara nyingi ndivyo unapoongeza nafasi ya kushinda. Kwa hiyo hakuna cha bahati wala nini wewe jilipue tu kila anayekuja mbele yako twende nina hakika baada ya muda utakuwa na wewe umepata wako kama mleta mada. Vinginevyo njia rahisi mwendee mleta mada DM fasta uchukue nafasi iliyoachwa wazi kwani mleta mada hakusema kama kuna mwingine kashachukua nafasi.