Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
- Thread starter
- #101
Mungu mbariki Nassoro Mazrui.
Mengiunaongea mambo mangapi kwa wakati mmoja ?
Mkuu mimi naichukia ccm kuliko navyomchukia shetaniHuu ndio ushenzi ambao nasema kila siku utatupeleka pabaya... huyu sio jambazi, sio mhuni, sio mtu asiye na anuani.
Mazrui ni mfanyabiashara na aliwahi kuwa kiongozi. Huu upuuzi tunaofanya nikujichafua wenyewe unnecessarily.
Huyu ni Baba wa familia, ana ndugu wanaomtegemea. Wote tunajua alivyokamatwa. Kwanini tunataka kutengeneza bifu zisizo za maana??
Naichukia CCM kuliko kitu chochote kile.
Basi hapo umeshammaliza kabisa!! Wewe ukishasema hivyo ndiyo unamchukiza Mjngu kabisa wewe jaribu kuangalia huko nyuma wote ulio waombea kwa maneno hayo ndiyo hufeli kabisa!Mungu mbariki Nassoro Mazrui .
Shetani ulishamwona?Mkuu mimi naichukia ccm kuliko navyomchukia shetani
Bwashee jokate atakula teuzi ya ubunge?Swali lako limekaa kiuchochezi zaidi!
🖕🏿Huyo ni gaidi alikamatwa na mabomu akiwaongoza vijana 32 wakijiandaa kuleta taharuki Tanzania. Hata Marekani waliwaweka magaidi Quantanamol kwa muda wa zaidi ya miaka 10 bila kuwafikisha Mahakamani. Hivyo usishangae sana ni kawaida tu hapa duniani gaidi kushikishwa adabu kwa kuwa aliyataka yeye mwenyewe!
NdioShetani ulishamwona?
Kuna viti 19 maalumu kwa wadada kwa ndugai,fanya kesho ukasajiliweShetani ulishamwona?
Sihitaji ubunge nimejiajiri mkuu.Kuna viti 19 maalumu kwa wadada kwa ndugai,fanya kesho ukasajiliwe
Kwa hawara ya bibi yako wa kamboVipi uliandamania mitaa gani sister?
Wahi jobu analalamika,peleka jina kesho wenzako 18 wameshawahi.wakiongozwa na bia yetu,magonjwa mtambuka,motochini,troll etcSihitaji ubunge nimejiajiri mkuu.
RIP LwajabeMaCcm hawashindwi kumuua mtz yoyote wakitaka, kwao kumwaga damu ni jambo la kawaida sana
Sigda zipo hata za kubandikaMwinyi anajifanya swala tano, sijui hiyo swala tano huwa anaomba nini wakati ananuka damu za wazanzibar,
Inasikitisha mtu kuuwawa licha ya risasi hata kama ni kwa rungu na hata iwe kwa sababu yoyote, iwe uchaguzi, kufumaniwa, kuiba au kitu kingine. Kinachonishangaza ni kwamba marehemu kapigwa risasi moja mguuni kafa lakini yule kapigwa risasi 30 sehemu mbali mbali mguuni, kiunoni, mgongoni, tumboni sijui na wapi bado mzima. Hapa ndipo huwa kuna siri kubwa ya Mungu.Kwa kifupi ni kwamba Mh Khamis Bakari ameuawa.
Ni kweli Mungu ana siri zake , lakini Lissu angeenda Muhimbili angeishazikwa kitambo sana ! si umeona aliko Ismaili Jussa ? huyu angeendelea kubaki hapa naye angekwenda na majiKwel
Inasikitisha mtu kuuwawa licha ya risasi hata kama ni kwa rungu na hata iwe kwa sababu yoyote, iwe uchaguzi, kufumaniwa, kuiba au kitu kingine. Kinachonishangaza ni kwamba marehemu kapigwa risasi moja mguuni kafa lakini yule kapigwa risasi 30 sehemu mbali mbali mguuni, kiunoni, mgongoni, tumboni sijui na wapi bado mzima. Hapa ndipo huwa kuna siri kubwa ya Mungu.
Kwel
Inasikitisha mtu kuuwawa licha ya risasi hata kama ni kwa rungu na hata iwe kwa sababu yoyote, iwe uchaguzi, kufumaniwa, kuiba au kitu kingine. Kinachonishangaza ni kwamba marehemu kapigwa risasi moja mguuni kafa lakini yule kapigwa risasi 30 sehemu mbali mbali mguuni, kiunoni, mgongoni, tumboni sijui na wapi bado mzima. Hapa ndipo huwa kuna siri kubwa ya Mungu.
Au hata kuhujumu uhai wake kwa makusudi..Ni kweli ulichosema.
..kuna jamaa kijana, tena ni mwanamichezo, alipigwa risasi moja mguu akafariki.
..lakini tukumbuke kwamba Aboubakar Khamis Bakari alikuwa mtu mzima, miaka 69.
..hivyo siyo rahisi kuhimili msukosuko wa shambulizi la risasi ktk umri huo.
..jambo lingine linaloweza kuchangia linaweza kuwa ubora wa huduma za matibabu visiwani Zanzibar.
Mabomu hayo ulimpa weye,shenzi kabisa,hivi ulimbukeni wa polisi hawa wmkamate na mabomu washindwe kuyaanika kwenye vyombo via habari,hivi inaingia akilini,mbona nyie mijitu munakuwa wajinga hivi. Kweli elimu ni shida kweli hapa tnz,mijitu inacoment utasema inatoka kuzimu.Sasa unakataa hakukamatwa na mabomu na vifaa vya kuingilia mitandao ya ZEC na NEC? Mbona RPC alitoa press conference hiyo? Basi nenda kamwambie RPC kama alikosea??