Je, nani alifinance project ya ujenzi wa Safina?

Nimekuomba namba ya post ambayo nimetaja mie ni imani gani.

Wewe hauwezi kujadiliana na mie kwa kuwa nakuonesha udhaifu wa msingi wa hoja zako.
kamuulize mohamed na aalah wako waliopasua mwezi vipande viwili
what a stupid belief!!!!
when i say you are muslim i mean it sababu napodebate na watu kama nyinyi mnaishia kujiexpose
nenda ukajadiliane na waislamu wenzako kuhusu upuuzi wa wazi uliomo kwenye quran halafu uje kudebate na mimi
kama unaamini mohamed akiwa peke yake aliongea sijui na allah na ukaamini ujinga wake basi usirudie kujaribu kudebate na mimi
inaonyesha how low your thinking capacity is
 
kamuulize mohamed na aalah wako waliopasua mwezi vipande viwili
what a stupid belief!!!!
when i say you are muslim i mean it sababu napodebate na watu kama nyinyi mnaishia kujiexpose
nenda ukajadiliane na waislamu wenzako kuhusu upuuzi wa wazi uliomo kwenye quran halafu uje kudebate na mimi
kama unaamini mohamed akiwa peke yake aliongea sijui na allah na ukaamini ujinga wake basi usirudie kujaribu kudebate na mimi
inaonyesha how low your thinking capacity is
Watu wote unaojadiliana nao humu ni wale wenye kuamini Biblia na Qur'an,sas sijui wewe kwa kupoteza muda wako na kujadiliana na watu kama hao unakuwa katika nafasi gani!

Unachokiamini hautaki kijadiliwe na ndiyo sababu ya kukwepa kujadiliana na mimi ila umekazana kujadili imani za wengine,kama sio upumbavu tu unaofanya hapa ni nini?
 
hakuna story ya kijinga kama ya safina
vipimo vyake kwa mujibu wa biblia ni kama kiwanja cha mpira
imagine kuna species kama milioni nne za wanyama duniani
ukizidisha mara mbili unapata wanyama milioni 8
wanaeneaje hao wanyama kwenye boti ya vipimo hivyo
sloth wanapatikana australia,huyu ni slowest animal on planet
kutoka australia hadi palestina anaweza kufika baada ya miaka 100
simba anakaaje na swala bila kumla!!!!!
the bible is the best selling comic book
Ndio maana ya Miujiza hiyo!!!
 
Haaahaaaa ndio hivyo mkuu mie huwa nakuelewa sana unavyohoji sema wafia dini wengi wanakuona kma shetani kisa kuhoji masuala yasiyoelezeka vizuri mfano mnara wa babeli kufika mbinguni ama Cain alioa nani?? n.k Ila kuna sehemu moja nimekutana na wasomi wa Biblia wenye PhD kabisa na kuna baadhi ya hoja zako humu wanakubali.

Mfano waliniambia Adam hakuwa mtu wa kwanza na Dunia haina miaka 6000 na maandiko walinionyesha kuprove hilo sema kituko hawa ambao hta biblia hawajaimaliza kusoma ukiwaambia hivyo wanakuita shetani.

Tuna safari ndefu sana bado ila tutafika tu
Nani anasema mnara wa babeli ulifika mbinguni? Au pameandikwa wapi hilo?
 
achana na maigizo ya kupanga yale
kama kweli wanatibu kwa jina la yesu basi nakupa challenge kamuite pastor yoyote amuombee mtu aliyekatika mkono au mguu uote....naruhusu aombe mwezi mzima usiku na mchana kama utaota
Inategemea nini kilisababisha akatike mikono au mguu...au awe kichaa au taahira

Kuna wengine wako hivyo kutokana na laana kwasababu ya madhambi waliofanya.
 
up.uuzi mwingine
hakuna tukio la namna hiyo limewahi kuripotiwa popote kwenye historia ya dunia zaidi ya utunzi mwanana wa waandishi wa biblia
kama kwa mungu wako wa kwenye biblia kila kitu kinawezekana mwambie auhamishie mlima kilimanjaro hapa daslam na bahari aipeleke katavi
Ni sawa na Yesu alipoambiwa ageuze mawe kuwa mkate....au alipoambiwa ajitupe chini kutoka mbali.....Akajibu :-

"Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako"

Ukiwa na Imani na uwezo wa kutenda miujiza haimaanishi to do some Illogical things...!
 
Imeandikwa "Usimjaribu Bwana Mungu wako"
nipe mstari unaosema hivyo
mi nakupa mstari ambapo yehova amejaribiwa na akajibu

1 Wafalme 18:21

Kisha, Elia akawakaribia watu hao, akawaambia, “Mtasitasita na kuyumbayumba mioyoni mpaka lini? Ikiwa Mwenyezi-Mungu, ndiye Mungu mfuateni; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi, mfuateni yeye.” Lakini watu hawakumjibu neno lolote. Hapo, Elia akawaambia, “Mimi tu ndiye peke yangu nabii wa Mwenyezi-Mungu niliyebaki, lakini manabii wa Baali wapo 450. Haya! Leteni fahali wawili; manabii wa Baali wajichagulie fahali mmoja, wamchinje, wamkate vipandevipande na kumweka juu ya kuni, bila kuwasha moto. Nami pia nitamtwaa huyo fahali mwingine, nitamchinja na kumweka juu ya kuni bila kuwasha moto. Kisha, wao watamwomba mungu wao, nami nitamwomba Mwenyezi-Mungu. Mungu atakayejibu kwa kuleta moto, huyo ndiye Mungu wa kweli.” Na hapo umati wote ukasema, “Naam! Na iwe hivyo.” Kisha, Elia akawaambia manabii wa Baali, “Nyinyi ni wengi; basi anzeni. Jichagulieni fahali, mtayarisheni na kumwomba mungu wenu, lakini msiwashe moto.” Hao manabii wakamtwaa fahali wao waliyepewa, wakamtayarisha, kisha wakaanza kumlilia Baali kutoka asubuhi hadi adhuhuri, wakirukaruka na kuyumbayumba kuizunguka madhabahu waliyotengeneza wakisema: “Ee Baali, utusikie!” Lakini hapakutokea sauti yoyote, wala hakuna aliyewajibu. Ilipofika saa sita mchana, Elia akaanza kuwadhihaki akisema, “Ombeni kwa sauti kubwa zaidi! Yeye ni mungu ati! Huenda ikawa amezama katika mawazo yake, amekwenda haja, au yumo safarini! Labda amelala, mnapaswa kumwamsha!” Manabii hao wakapiga kelele zaidi, wakajikatakata kwa visu na simi, kufuatana na desturi yao, hata wakabubujika damu. Wakaendelea kupiga makelele na kufanya kama wendawazimu hadi alasiri wakati wa kutoa tambiko; lakini hakuna aliyewajibu wala kuwajali. Basi, Elia akawaambia watu, “Sogeeni karibu nami.” Wao wakamkaribia. Kisha Elia akaijenga upya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu iliyokuwa imebomolewa. Alitwaa mawe kumi na mawili, hesabu ya makabila kumi na mawili yaliyopewa majina ya wana wa Yakobo ambaye Mwenyezi-Mungu alimwambia “Jina lako litakuwa Israeli.” Kwa mawe hayo, Elia alimjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu, akachimba na mtaro kuizunguka madhabahu hiyo; mtaro uwezao kuchukua kama debe moja na nusu la nafaka. Kisha akapanga kuni vizuri, akamkata vipandevipande yule fahali, akaviweka juu ya kuni. Kisha akawaambia watu, “Jazeni mitungi minne maji mkaimwagie tambiko hii ya kuteketezwa pamoja na kuni.” Wakafanya hivyo. Kisha akawaambia, “Rudieni tena.” Nao wakafanya hivyo mara ya pili. Naye akawaambia, “Fanyeni hivyo tena mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo. Maji yakatiririka chini pande zote za madhabahu, hata yakajaa mtaroni. Mnamo alasiri, wakati wa kutoa tambiko, nabii Elia aliikaribia madhabahu, akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, waoneshe watu leo hii kwamba wewe ndiwe Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya kwa amri yako. Unijibu, ee Mwenyezi-Mungu; unijibu ili watu hawa wajue kuwa wewe Mwenyezi-Mungu ndiwe Mungu, na kwamba umeigeuza mioyo yao wakurudie.” Mara, Mwenyezi-Mungu akashusha moto, ukaiteketeza tambiko hiyo ya kuteketezwa, kuni, mawe na vumbi, na kuyakausha maji yote mtaroni. Watu walipoona hivyo, walianguka kifudifudi na kusema, “Mwenyezi-Mungu, ni Mungu; Mwenyezi-Mungu, ni Mungu!” Ndipo Elia akawaambia, “Wakamateni manabii wote wa Baali. Msimwache hata mmoja wao atoroke!” Basi, watu wakawakamata wote, naye Elia akawapeleka mtoni Kishoni, akawaulia huko.
 
Ni sawa na Yesu alipoambiwa ageuze mawe kuwa mkate....au alipoambiwa ajitupe chini kutoka mbali.....Akajibu :-

"Imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako"

Ukiwa na Imani na uwezo wa kutenda miujiza haimaanishi to do some Illogical things...!
alijaribiwa hapa na akajibu
1 Wafalme 18:21
Kisha, Elia akawakaribia watu hao, akawaambia, “Mtasitasita na kuyumbayumba mioyoni mpaka lini? Ikiwa Mwenyezi-Mungu, ndiye Mungu mfuateni; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi, mfuateni yeye.” Lakini watu hawakumjibu neno lolote. Hapo, Elia akawaambia, “Mimi tu ndiye peke yangu nabii wa Mwenyezi-Mungu niliyebaki, lakini manabii wa Baali wapo 450. Haya! Leteni fahali wawili; manabii wa Baali wajichagulie fahali mmoja, wamchinje, wamkate vipandevipande na kumweka juu ya kuni, bila kuwasha moto. Nami pia nitamtwaa huyo fahali mwingine, nitamchinja na kumweka juu ya kuni bila kuwasha moto. Kisha, wao watamwomba mungu wao, nami nitamwomba Mwenyezi-Mungu. Mungu atakayejibu kwa kuleta moto, huyo ndiye Mungu wa kweli.” Na hapo umati wote ukasema, “Naam! Na iwe hivyo.” Kisha, Elia akawaambia manabii wa Baali, “Nyinyi ni wengi; basi anzeni. Jichagulieni fahali, mtayarisheni na kumwomba mungu wenu, lakini msiwashe moto.” Hao manabii wakamtwaa fahali wao waliyepewa, wakamtayarisha, kisha wakaanza kumlilia Baali kutoka asubuhi hadi adhuhuri, wakirukaruka na kuyumbayumba kuizunguka madhabahu waliyotengeneza wakisema: “Ee Baali, utusikie!” Lakini hapakutokea sauti yoyote, wala hakuna aliyewajibu. Ilipofika saa sita mchana, Elia akaanza kuwadhihaki akisema, “Ombeni kwa sauti kubwa zaidi! Yeye ni mungu ati! Huenda ikawa amezama katika mawazo yake, amekwenda haja, au yumo safarini! Labda amelala, mnapaswa kumwamsha!” Manabii hao wakapiga kelele zaidi, wakajikatakata kwa visu na simi, kufuatana na desturi yao, hata wakabubujika damu. Wakaendelea kupiga makelele na kufanya kama wendawazimu hadi alasiri wakati wa kutoa tambiko; lakini hakuna aliyewajibu wala kuwajali. Basi, Elia akawaambia watu, “Sogeeni karibu nami.” Wao wakamkaribia. Kisha Elia akaijenga upya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu iliyokuwa imebomolewa. Alitwaa mawe kumi na mawili, hesabu ya makabila kumi na mawili yaliyopewa majina ya wana wa Yakobo ambaye Mwenyezi-Mungu alimwambia “Jina lako litakuwa Israeli.” Kwa mawe hayo, Elia alimjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu, akachimba na mtaro kuizunguka madhabahu hiyo; mtaro uwezao kuchukua kama debe moja na nusu la nafaka. Kisha akapanga kuni vizuri, akamkata vipandevipande yule fahali, akaviweka juu ya kuni. Kisha akawaambia watu, “Jazeni mitungi minne maji mkaimwagie tambiko hii ya kuteketezwa pamoja na kuni.” Wakafanya hivyo. Kisha akawaambia, “Rudieni tena.” Nao wakafanya hivyo mara ya pili. Naye akawaambia, “Fanyeni hivyo tena mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo. Maji yakatiririka chini pande zote za madhabahu, hata yakajaa mtaroni. Mnamo alasiri, wakati wa kutoa tambiko, nabii Elia aliikaribia madhabahu, akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, waoneshe watu leo hii kwamba wewe ndiwe Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya kwa amri yako. Unijibu, ee Mwenyezi-Mungu; unijibu ili watu hawa wajue kuwa wewe Mwenyezi-Mungu ndiwe Mungu, na kwamba umeigeuza mioyo yao wakurudie.” Mara, Mwenyezi-Mungu akashusha moto, ukaiteketeza tambiko hiyo ya kuteketezwa, kuni, mawe na vumbi, na kuyakausha maji yote mtaroni. Watu walipoona hivyo, walianguka kifudifudi na kusema, “Mwenyezi-Mungu, ni Mungu; Mwenyezi-Mungu, ni Mungu!” Ndipo Elia akawaambia, “Wakamateni manabii wote wa Baali. Msimwache hata mmoja wao atoroke!” Basi, watu wakawakamata wote, naye Elia akawapeleka mtoni Kishoni, akawaulia huko.
 
nafikiri umesoma kwenye biblia dimension ya safina
niambie species milioni 4(ukizidisha mara mbili milioni 8) zinaweza kuenea vipi kwenye hiyo safina!!!
halafu akae na mbuzi bila kumla!!!!!
the bible is the best selling comic book
kama mikate miwili na samaki watano waliweza kutosha kuliwa na watu zaidi ya 5000 sioni ajabu safina ya dimension hizo ikifit kwa species mil 8 ,na pia sioni ajabu swala kukaa pamoja na somba ikiwa danieli alitupwa kwenye kundi la simba bila kutafunwa
 
kama mikate miwili na samaki watano waliweza kutosha kuliwa na watu zaidi ya 5000 sioni ajabu safina ya dimension hizo ikifit kwa species mil 8 ,na pia sioni ajabu swala kukaa pamoja na somba ikiwa danieli alitupwa kwenye kundi la simba bila kutafunwa
stori za kwenye biblia hazijawahi kuthibitishwa na mwandishi huru yoyote wa kipindi hicho
ni za kutunga tu
hazina uthibitisho
 
Gwajima atakupa fix tu.
Mkuu umewaza mbali mno yaan ata vyuo vya bible havijawahi kuwaza.
Ila naisi alijenga mwenyewe,na material yalikuwa yanapatikana kiraisi.KUHUSU MISUMALI NA MSUMENO WA KUKATIA ngoja siku Mch,Gwajima atatolea maelezo kamili
 
Baada ya Mwenyezi Mungu kumpa Mchoro kamili wa Ramani ya SAFINA nabii NUHU:- Unadhani Kwa Ufahamu unaoujua wewe au Kwa Dini uliyoisoma wewe, Huyu Nabii Nuhu alitengenezaje Boti ile Kubwa zaidi Duniani.. alipatawapi material na Nani Alifinance Project Yote!
Alifinance Mungu
 
Biblia haijaandika wazi ni muda gani haswa Nuhu alitumia kuijenga safina, kwa sababu

Biblia haielezi kwa uwazi ni muda gani Nuhu alichukua kujenga safina. Wakati Nuhu anapotajwa kwa mara ya kwanza katika Mwanzo 5:32, ana umri wa miaka 500. Wakati Nuhu alipoingia ndani ya safina, ana umri wa miaka 600. Muda uliochukuliwa kujenga safina unategemea muda uliopita kati ya Mwanzo 5:32 na wakati ambao Mungu aliamuru Nuhu kujenga safina (Mwanzo 6: 14-21). Kwa kabisa, ilichukua miaka 100.

Kwa hiyo ukitazama vizuri utaona kabisa muda uliotumika ni mrefu sana hivyo nina imani kabisa watu waliojenga safina walikuwa ni wengi
Ila ilihitaji moyo kumaliza muda wote bila kukata tamaa na hapo ndio maana ikazuka zana ya kumcheka na kumkebehi mana alilowambia halikuwa linatimia.
Lakini kuhusu mnefili Ogu kuna kitabu fulani cha kidunia kinasema
Wakati garika inaanza hakuwa eneo la dunia alioilenga Mungu na ndio maana historia ya Ogu inajirudia hata wakati garika ilipokwish kupita na hii inamaanisha Ogu hakusombwa pamoja na garika ile japo hatuelezwi kiuwazi ni nini kilitokea hadi ogu akaja kuwa mfalme miongo michache baada ya garika na wakati alitajwa wakati wa ujenzi wa safina...

Lakini pia vitabu vingie vinasema
Wanefili hawakufa katika garika ile maana walikuwa ni malaika waliojivika miili ya kibinadamu na wakajivua na kuwa roho wakati wa garika na kurudi mbinguni huko wakatengwa na malaika watiifu na hapo wakakimbilia kwa malaika muasi ambae tunamwita shetani.

So kuhitimisha mawazo yangu kulingana na vitabu vingi vioneshavyo ni kuwa Nuhu hakuijenga safina peke yake,walijenga wengi ila Mungu alihitaji waliomaliza mwanzo mwisho na ndio mana wakapatikana watu nane badala ya wanne,yaani wale watoto watatu wa Nuhu na yeye mwenyew,
Mana hata Mke wake hajatajwa japo wengi wanadai anaeza kuwa ni Naama
Sasa wewe ndugu huyo ogu si angeivunjavunja hiyo safina na nuhu asingepona? Safina ajenge yeye alaf anyimwe kuingia ateseke na gharika halafu apone............
 
Biblia haijaandika wazi ni muda gani haswa Nuhu alitumia kuijenga safina, kwa sababu

Biblia haielezi kwa uwazi ni muda gani Nuhu alichukua kujenga safina. Wakati Nuhu anapotajwa kwa mara ya kwanza katika Mwanzo 5:32, ana umri wa miaka 500. Wakati Nuhu alipoingia ndani ya safina, ana umri wa miaka 600. Muda uliochukuliwa kujenga safina unategemea muda uliopita kati ya Mwanzo 5:32 na wakati ambao Mungu aliamuru Nuhu kujenga safina (Mwanzo 6: 14-21). Kwa kabisa, ilichukua miaka 100.

Kwa hiyo ukitazama vizuri utaona kabisa muda uliotumika ni mrefu sana hivyo nina imani kabisa watu waliojenga safina walikuwa ni wengi
Ila ilihitaji moyo kumaliza muda wote bila kukata tamaa na hapo ndio maana ikazuka zana ya kumcheka na kumkebehi mana alilowambia halikuwa linatimia.
Lakini kuhusu mnefili Ogu kuna kitabu fulani cha kidunia kinasema
Wakati garika inaanza hakuwa eneo la dunia alioilenga Mungu na ndio maana historia ya Ogu inajirudia hata wakati garika ilipokwish kupita na hii inamaanisha Ogu hakusombwa pamoja na garika ile japo hatuelezwi kiuwazi ni nini kilitokea hadi ogu akaja kuwa mfalme miongo michache baada ya garika na wakati alitajwa wakati wa ujenzi wa safina...

Lakini pia vitabu vingie vinasema
Wanefili hawakufa katika garika ile maana walikuwa ni malaika waliojivika miili ya kibinadamu na wakajivua na kuwa roho wakati wa garika na kurudi mbinguni huko wakatengwa na malaika watiifu na hapo wakakimbilia kwa malaika muasi ambae tunamwita shetani.

So kuhitimisha mawazo yangu kulingana na vitabu vingi vioneshavyo ni kuwa Nuhu hakuijenga safina peke yake,walijenga wengi ila Mungu alihitaji waliomaliza mwanzo mwisho na ndio mana wakapatikana watu nane badala ya wanne,yaani wale watoto watatu wa Nuhu na yeye mwenyew,
Mana hata Mke wake hajatajwa japo wengi wanadai anaeza kuwa ni Naama
Hebu twendeni sawa kidogo, mvua ilinyesha kwa siku 40, usiku na mchana. Nuhu alipakia wanyama wawili wawili tu ndnai ya Safina, Sisimizi dume na Jike, Mbu dume na jike au sio? Simba dume na jike, swala dume na jike. Chui dume na jike. Hawa wanyama wala majani walikula nini? unaweza niambia aliweka nyasi sawaa, je hawa wanyama wala nyama kama simba, chui nk wao walikula nini?
 
Mkuu kwakuwa umeuliza kibiblia ntajibu kibiblia

Waebrania 11:7
7 Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani

Hivyo waandishi wa Biblia wanasema kwa IMANI hayo yote yaliwezekana ila kiuhalisia hayawezekani

Na kwenye issue ya safina Mungu alikuwa involved na Biblia inasem

Luke 1:37
37 kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.

Hivyo kibiblia Mungu hashindwi kitu na ikimaanisha kama aliwaumba hao wanyama mwenyewe basi alikuwa na formula ya jinsi ya kuwakamata,kuwacontain wasiuane na pia kuwatoshesha wote kwenye safina.

Ila nje ya bible bado kuna controversy kama hii story ni ya kweli au mythology na nilishaliongelea humu

Je biblia ni copy & paste ya hadithi za kale za kipagani na sio UHALISIA? - JamiiForums

Ni hayo tu egyptologist mwenzangu
 
Nyakati za mwanzo na nyakati za zamani, kazi zilifanyika kikoa ama kwa mbiu (later on mbiu ya mgambo)
Popote palipokuwa na shughuli yoyote ilipigwa mbiu watu wakakusanyika na kuambiwa cha kufanya... Baada ya hapo kila mmoja alishika nafasi yake....
kwahyo chakula cha simba kilikuwa nni au ndo kwa iman walikaa na njaa miaka yote hiyo
 
Back
Top Bottom