Ngonalugali
JF-Expert Member
- Jan 12, 2008
- 659
- 102
Tanzania is exception in the world,
Mambo ambayo utayakuta hapa Tz si rahisi kuyakuta mahala pengine duniani. Kuna mengi ya kuzungumzia juu ya nchi hii na watu tuliowapa dhamana ya kulinda mali za walipa kodi lakini kwa leo naomba tujadili ya ATCL.
Kuna hili swala la ATCL kila siku kuomba pesa serikalini ili kulipa madeni lakini kwa kuangalia harakaharaka utakuta kwamba madeni mengine yanasababishwa na waliopewa dhamana ya kuliendesha shirika hilo.
Je, inawezekana vipi kwa shirika lenye ndege tatu kuwa na wafanyakazi 300? Unaweza wapi kupata faida na wakati huo huo kumudu gharama za uendeshaji kama una wafanyakazi 100 wanaotegemea kulipwa na ndege moja yenye uwezo wa kubeba abiria 50?
Mambo ambayo utayakuta hapa Tz si rahisi kuyakuta mahala pengine duniani. Kuna mengi ya kuzungumzia juu ya nchi hii na watu tuliowapa dhamana ya kulinda mali za walipa kodi lakini kwa leo naomba tujadili ya ATCL.
Kuna hili swala la ATCL kila siku kuomba pesa serikalini ili kulipa madeni lakini kwa kuangalia harakaharaka utakuta kwamba madeni mengine yanasababishwa na waliopewa dhamana ya kuliendesha shirika hilo.
Je, inawezekana vipi kwa shirika lenye ndege tatu kuwa na wafanyakazi 300? Unaweza wapi kupata faida na wakati huo huo kumudu gharama za uendeshaji kama una wafanyakazi 100 wanaotegemea kulipwa na ndege moja yenye uwezo wa kubeba abiria 50?