Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 946
Habari za wakati huu.
Kutokana na kichwa cha habari kinavyojieleza, na haya ni maoni yangu...
Kikawaida imezoeleka kwamba katika jamii tumejengewa dhana potofu kuwa kila binadamu anakosea. Hii inafanya wakati mwingine mtu aogope kufanya jambo akihofia kukosea, maana anafikiria kama akikosea jamii itamuonaje.
Hapo ndipo tunapoona jamii ikigawanyika kwa walionacho na wasionacho.
Nadhani mpaka hapo hakuna ubishi.
Kiuhalisia katika jamii yetu tunayoishi inaonekana wazi kabisa kwamba mwanaume hakosei, mwanaume hutenda/hufanya jambo kwa usahihi kabisa kuliko wanawake .
Na wanawake ndio wanafanya mwanaume aonekane kwamba anakose kitu ambacho sio sahihi/kweli.
Kwa iyo Kama mwanaume akifanya jambo/kitu ujue kuna sabab ya msingi sana tena ya kimaendeleo.
We are not the same
Kutokana na kichwa cha habari kinavyojieleza, na haya ni maoni yangu...
Kikawaida imezoeleka kwamba katika jamii tumejengewa dhana potofu kuwa kila binadamu anakosea. Hii inafanya wakati mwingine mtu aogope kufanya jambo akihofia kukosea, maana anafikiria kama akikosea jamii itamuonaje.
Hapo ndipo tunapoona jamii ikigawanyika kwa walionacho na wasionacho.
Nadhani mpaka hapo hakuna ubishi.
Kiuhalisia katika jamii yetu tunayoishi inaonekana wazi kabisa kwamba mwanaume hakosei, mwanaume hutenda/hufanya jambo kwa usahihi kabisa kuliko wanawake .
Na wanawake ndio wanafanya mwanaume aonekane kwamba anakose kitu ambacho sio sahihi/kweli.
Kwa iyo Kama mwanaume akifanya jambo/kitu ujue kuna sabab ya msingi sana tena ya kimaendeleo.
We are not the same