Je, mwanamke uliyeolewa/uliopo kwenye mahusiano unaweza kuwa na rafiki (best) wa kiume?

Bbade

JF-Expert Member
Mar 15, 2013
6,725
21,804
Huu mjadala nimekutana nao sehemu ya kazi.

Kwamba idadi kubwa ya wa wadada tunakuwa na mtu mmoja (mwanamme) ambaye tunaambiana matatizo yetu zaidi kuliko tunavyowahusisha wapenzi wetu.

Na huyu rafiki hajulikani kwa mwenza wako.

Kwanini hutokea hivyo?

Je unafikiri ni vyema kufanya hivyo?
 
Not good at all! It’s a recipe for a major relationship/ marriage disaster!

In an ideal situation, your man/ husband should be your [best] friend.

But definitely not some other guy.

If you can’t confide in your man then something is majorly wrong in that relationship and you need to re-assess it ASAP.

I don’t believe in opposite sex friendships while one is in a serious relationship with someone else.

I’m just old school like that!
 
You are
Not good at all! It’s a recipe for a major relationship/ marriage disaster!

In an ideal situation, your man/ husband should be your [best] friend.

But definitely not some other guy.

If you can’t confide in your man then something is majorly wrong in that relationship and you need to re-assess it ASAP.

I don’t believe in opposite sex friendships while one is in a serious relationship with someone else.

I’m just old school like that!
You are absolutely right. Regarless of your old school status.
 
Rafiki wa kumueleza vitu vya ndani ambavyo huwezi mueleza mpenzi wako?!! Huo urafiki ni lazima utaishia kwenye disaster tu.
Asilimia ni kubwa saana za kuangukiana.

lakini inawezekana mwanamme au mwanamke kutokuwa na rafiki wa namna hiyo sijafika kwenye kama mlishawahi kuanguka au la!

Kuna mambo huwezi kumwambia mwenza wako. mkigombana utamwomba ushauri wa kufanya ili ugomvi uishe! huwezi lazima awepo asiyehusika kwenye ugomvi akushauri.

tatizo.. huja pale mnapokolea nje ya kushauriana mnaliwazana mwisho mnageuka michepuko.


kwangu kuwa na rafiki sio vibaya ila mipaka ijengwe.
 
Kwa Mimi Sioni Kama kuna Tatizo, Mpenzi Wangu Kuwa Na Rafiki Wa Kiume, Au Mimi Kuwa Na Rafiki Wa Kike Wa Kusaidiana Pale Panapostahili, Kwani Hata Huyu Nilienae Nimempata Kupitia Huyo Rafiki Yake Wa Kiume.
 
Huu mjadala nimekutana nao Sehemu ya kazi.
Kwamba Idadi kubwa ya Wa wadada tunakuwa na mtu mmoja (mwanamme) ambaye tunaambiana matatizo yetu Zaidi kuliko tunavyo wahusisisha wapenzi wetu.

Na huyu Rafiki hajulikani kwa Mwenza wako.

Kwanini hutokea hivyo?

Je unafikiri ni vyema kufanya hivyo?

MKIJA KUACHWA MNALALAMIKA
 
Moja ya kosa wanalofanya wanawake ni kujaribu kua "One of Guy" ....yaan mwanamke unataka kua namarafiki wakiume,sio wa mwanamme wako sio wawapi yaaan wee namba zako ingi ni mee.


Ivi mwanamke unajisikiaje, Mumeo kua na mawasiliano na wmarafiki wengine wakike wawe wako au lah alafu anawapa muda wake sana??? .
 
Not good at all! It’s a recipe for a major relationship/ marriage disaster!

In an ideal situation, your man/ husband should be your [best] friend.

But definitely not some other guy.

If you can’t confide in your man then something is majorly wrong in that relationship and you need to re-assess it ASAP.

I don’t believe in opposite sex friendships while one is in a serious relationship with someone else.

I’m just old school like that!
Tena unakuta unamuuliza huyu/yule ni nani? Anakujibu simple tu "humjui na sio lazima kumjua kila mtu" hahahaaa aisee nikigeuza kisogo huwa ndo imetoka hiyooo.
 
Not good at all! It’s a recipe for a major relationship/ marriage disaster!

In an ideal situation, your man/ husband should be your [best] friend.

But definitely not some other guy.

If you can’t confide in your man then something is majorly wrong in that relationship and you need to re-assess it ASAP.

I don’t believe in opposite sex friendships while one is in a serious relationship with someone else.

I’m just old school like that!
They simply looking for trouble.
 
Back
Top Bottom