kama Mwalimu nyerere angekuwa raisi wa Tanzania leo hii je angeogopa mdahalo na wapinzani? kama Kikwete?
jamani kuweni serious.... hapa naungana na JK, sioni haja ya mdahalo... nchi hainapati manufaa yoyoe na hii midhalo hasa ukizingatia kuwa waTZ wengi hawafuatilii mijadala na hawachagui mtu baada ya kupima mipango na intelligence yake... kama mnataka slaa ashinde basi achaneni kabisa na hii midahalo, lipumba anaing'ang'ania ili auze uprofessor wake kwa waTZ wasiou-mind!!!!!!!!!!! kaazi kwelikweli..., jiulizeni ule wa 19985 ulitusaidia nini kabla hamjaendelea kung'ang'ania huu wa sasa...
ni kweli ndugu......kasela bantu alikua na bahati angesingiziwa ni kitimba kwiri na mhaini....aliondoa vyama vingi kwa sababu hakua na hulka ya kukubali kupingwa....leo kama vyama vingi hakuvipiga marufuku tungekua mbali katika democrasia .....mwalimu badala ya kufanya mdahalo angewafanya kama alivyowafanya kasela bantu na kasanga tumbo.alikuwa na zero tolerance na wapinzani katika muda wote wa miaka 20 na ushee kwenye regime yake.