Je, Muwa ni tunda?

Je, Muwa ni tunda?

Hahahaha,leo hii post imenichekesha sanaaa,
Maana majibu yake ya ajabua jabu kweli.
Sijui maharage yatakuwa kundi gani kwa baadhi ya tafsiri hapo juu
 
Kijana soma tena soma sana u catch up na kile ambacho hukusoma form one.
Swali ulilouliza ni la darasa la tisa, kuekezea tofauti kati ya kingdoms sita za viumbe.
Soma somo la biologia ya form one na elimu yako ya viumbe utaipa haki.
 
Muwa sio tunda kwani tunda linatokea kwenye ua. Na tunda lazima liwe na mbegu kwa sababu tunda ndilo linalotokeza kizazi kingine( sexual reproduction). Kwa hiyo muwa tunaokula ni shina. Kama mjuavyo kwenye mimea, kutegemea na aina, tunakula kila sehemu ya mmea na sio tunda tu. Mfano, mihogo au karoti tunakula mizizi, mboga za majani tunakula majani na matawi, kwenye couliflower tunakula maua,nk.
Kuhusu classification, miwa iko katika Grass famiy inaitwa Poaceae, nafamily hii ni pamoja na miwa, mianzi, na aina mbalimbali za nyasi. Classifications za mimea kama ilivyo kwa wanyama hufanyika kwa kuzingatia maumbile na sio size ya kiumbe.

Sasa mkuu ikiwa mmea wowote ili uwe tunda lazima utokane na mbegu kama ulivyoelezea hapo juu je MASHELISHELI na NANASI pia sio MATUNDA? make haya nayo ili kupata zao lake tunatumia shina kupanda same like hiyo MIWA.
Ufafanuzi tafadhari.
 
Muwa sio tunda kwani tunda linatokea kwenye ua. Na tunda lazima liwe na mbegu kwa sababu tunda ndilo linalotokeza kizazi kingine( sexual reproduction). Kwa hiyo muwa tunaokula ni shina. Kama mjuavyo kwenye mimea, kutegemea na aina, tunakula kila sehemu ya mmea na sio tunda tu. Mfano, mihogo au karoti tunakula mizizi, mboga za majani tunakula majani na matawi, kwenye couliflower tunakula maua,nk.
Kuhusu classification, miwa iko katika Grass famiy inaitwa Poaceae, nafamily hii ni pamoja na miwa, mianzi, na aina mbalimbali za nyasi. Classifications za mimea kama ilivyo kwa wanyama hufanyika kwa kuzingatia maumbile na sio size ya kiumbe.
Mkuu umeeleza vizuri sana na wanatakiwa wakuelewe. Kwa nyongeza tu, muwa ni shina ambalo limekuwa modified kwa ajili ya kuhifadhi chakula (ndo huo utamu tunao meza wakati tunatafuna muwa). Pia shina hilo hilo limekuwa modified kwa ajili ya asexual reproduction.
 
Muwa sio tunda kwani tunda linatokea kwenye ua. Na tunda lazima liwe na mbegu kwa sababu tunda ndilo linalotokeza kizazi kingine( sexual reproduction). Kwa hiyo muwa tunaokula ni shina. Kama mjuavyo kwenye mimea, kutegemea na aina, tunakula kila sehemu ya mmea na sio tunda tu. Mfano, mihogo au karoti tunakula mizizi, mboga za majani tunakula majani na matawi, kwenye couliflower tunakula maua,nk.
Kuhusu classification, miwa iko katika Grass famiy inaitwa Poaceae, nafamily hii ni pamoja na miwa, mianzi, na aina mbalimbali za nyasi. Classifications za mimea kama ilivyo kwa wanyama hufanyika kwa kuzingatia maumbile na sio size ya kiumbe.

mkuu upo vizur sana nashawishika kuamini
 
Hahahahaha,
Aisee huyu alieleta swali hili sijui ametokea wapi.
Hahaha,maana humu kuna majibu gongana kwenye tafsiri ya Tunda.

Mpaka sasa bado hoja zinagongana,wahitimu wetu SUA inamaana hata hili swali mmekimbia?au ndio mambo yale hadi tupost kwenye forum za wakenya kule ndio watujibia
 
Back
Top Bottom