Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

Biblia ina logical contradictions nyingi sana.

Na hiyo ni kielelezo tosha kwamba iliandikwa na watu wajinga tu kama hadithi tu.
Kama walikuwa wajinga mbona kuna mambo waliyaandika many years ago lakini yakaja kutokea?
 
"""""Hakuna aliyepata kwenda mbinguni,,, isipokuwa mwana wa mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni""""
YOHANA 3:13 BHN.


Hii ni kauli ya YESU, wakati akiwa duniani. Ila kwenye kitabu cha mwanzo kinasema
HENOKO alitwaliwa,

Eliya naye akaenda na upepo wa kisulisuli halikadhalika na MUSA.

Wakuu hii imekaaje?

Baba mtakatifu91, Matunzo 02, and others
Henoko ni binadamu wa kwanza kufika mbingu ya 7
 
REJEA marko 9:1-25
Wengine hawatakufa ila wataingia mbingun bila kuonja mauti musa, eliya walikuwa ni watumishi wake MUNGU waliofanya makubwa sana kwa Mungu hivyo Mungu akawapa zawadi ya kutoonja mauti
Unaanzisha uzi, unajitag, halafu unajijibu


Hii ni dalili ya uwendaazimu
 
Ingawa biblia takatifu haijazungumzia wazi juu ya vifo vya baadhi ya mitume na mariam mama yake yesu,
Bado sio sahihi kutoka mbele za watu na kusema kua watu hao wangali wanaishi.
 
Ingawa biblia takatifu haijazungumzia wazi juu ya vifo vya baadhi ya mitume na mariam mama yake yesu,
Bado sio sahihi kutoka mbele za watu na kusema kua watu hao wangali wanaishi.
Kama hakuna maandiko yanayo support, sio sahihi kwa kweli
 
"""""Hakuna aliyepata kwenda mbinguni,,, isipokuwa mwana wa mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni""""
YOHANA 3:13 BHN.


Hii ni kauli ya YESU, wakati akiwa duniani. Ila kwenye kitabu cha mwanzo kinasema
HENOKO alitwaliwa,

Eliya naye akaenda na upepo wa kisulisuli halikadhalika na MUSA.

Wakuu hii imekaaje?

Baba mtakatifu91, Matunzo 02, and others
Naona kama hadithi za sungura vile!!
 
kwa sababu biblia inajipinga yenyewe agano la kale na jipya vina pingana musa iliamuru jicho kwa jicho yesu akasema usilipize ubaya kwa ubaya
Matendo ya mitume 17:30 (SUV)
"""Zamani zile za ujinga MUNGU,,, alijifanya kama hazioni bali sasa anawaita watu wote mtubu"""
 
biblia haijarekodi wala kusema bikra maria alikufa au hakufa kuna mitume weng tu biblia haijasema kama walikufa au hawakufa mfan mtume paulo n.k
Yote hayo kwetu sisi hayana umuhimu sababu lengo la Mungu wanadamu wapate WOKOVU
Paulo angejiandikaje kafa maana ndo mtunzi wa biblia agano jipya

Hao ukiwa kafir unakua hauna kichwa
 
ujio wa masihi, kuharibiwa kwa hekalu la yerusalem,n.k
YESU hajawahi kuwepo na hayupo.

Yesu ni Fictional character. Mhusika wa kubuniwa tu.

Kama Abunuwasi wa kwenye hekaya.

Habari za masihi ni hekaya za Biblia ambazo zilitengenezewa filamu yake iliyoitwa "Jesus of Nazareth".

Na waigizaji waliogiza kama Yesu wa hekaya za Biblia ni waigizaji kutoka Uingereza Brian deacon na Robert Powell.

Source: Wikipedia Jesus of Nazareth (TV series) - Wikipedia
 
Kwa nini uwaite wajinga?
Wametengeneza logical contradictions nyingi sana pasipo wao kutambua, Huku wakiaminisha umma kwamba Biblia ni neno la Mungu.

Mungu ambaye anaaminiwa ni mjuzi wa vyote hawezi kuwa na neno lenye logical contradictions.

Hivyo waandishi wa Biblia ni wajinga tu.

Na Biblia wala si neno la Mungu.

Bali hadithi za wajinga wa kale.
 
Wametengeneza logical contradictions nyingi sana pasipo wao kutambua, Huku wakiaminisha umma kwamba Biblia ni neno la Mungu.

Mungu ambaye anaaminiwa ni mjuzi wa vyote hawezi kuwa na neno lenye logical contradictions.

Hivyo waandishi wa Biblia ni wajinga tu.

Na Biblia wala si neno la Mungu.

Bali hadithi za wajinga wa kale.
Mkuu i hope one day utakuja kurudi hapa na USHUHUDA wa ajabu kuhusu ukuu wa MUNGU ni suala la mda tu!
 
Back
Top Bottom