Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

Psalm 103

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2026
Posts
1,657
Reaction score
2,698
"""""Hakuna aliyepata kwenda mbinguni,,, isipokuwa mwana wa mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni""""
YOHANA 3:13 BHN.


Hii ni kauli ya YESU, wakati akiwa duniani. Ila kwenye kitabu cha mwanzo kinasema
HENOKO alitwaliwa,

Eliya naye akaenda na upepo wa kisulisuli halikadhalika na MUSA.

Wakuu hii imekaaje?

Baba mtakatifu91, Matunzo 02, and others
 
"""""Hakuna aliyepata kwenda mbinguni,,, isipokuwa mwana wa mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni""""
YOHANA 3:13 BHN.


Hii ni kauli ya YESU, wakati akiwa duniani. Ila kwenye kitabu cha mwanzo kinasema
HENOKO alitwaliwa,

Eliya naye akaenda na upepo wa kisulisuli halikadhalika na MUSA.

Wakuu hii imekaaje?

Baba mtakatifu91, Matunzo 02, and others
Hilo andiko ebu nukuu upya usitumie chat gpt
 
REJEA marko 9:1-25
Wengine hawatakufa ila wataingia mbingun bila kuonja mauti musa, eliya walikuwa ni watumishi wake MUNGU waliofanya makubwa sana kwa Mungu hivyo Mungu akawapa zawadi ya kutoonja mauti
kwa hiyo kwa sasa wako wapi?
 
REJEA marko 9:1-25
Wengine hawatakufa ila wataingia mbingun bila kuonja mauti musa, eliya walikuwa ni watumishi wake MUNGU waliofanya makubwa sana kwa Mungu hivyo Mungu akawapa zawadi ya kutoonja mauti
Kila nafsi itaonja mauti.
 
Back
Top Bottom