Psalm 103
JF-Expert Member
- Jul 5, 2026
- 1,657
- 2,698
"""""Hakuna aliyepata kwenda mbinguni,,, isipokuwa mwana wa mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni""""
YOHANA 3:13 BHN.
Hii ni kauli ya YESU, wakati akiwa duniani. Ila kwenye kitabu cha mwanzo kinasema
HENOKO alitwaliwa,
Eliya naye akaenda na upepo wa kisulisuli halikadhalika na MUSA.
Wakuu hii imekaaje?
Baba mtakatifu91, Matunzo 02, and others
YOHANA 3:13 BHN.
Hii ni kauli ya YESU, wakati akiwa duniani. Ila kwenye kitabu cha mwanzo kinasema
HENOKO alitwaliwa,
Eliya naye akaenda na upepo wa kisulisuli halikadhalika na MUSA.
Wakuu hii imekaaje?
Baba mtakatifu91, Matunzo 02, and others