Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

Je? Musa, Eliya na Henoko wako wapi?

YESU hajawahi kuwepo na hayupo.

Yesu ni Fictional character. Mhusika wa kubuniwa tu.

Kama Abunuwasi wa kwenye hekaya.

Habari za masihi ni hekaya za Biblia ambazo zilitengenezewa filamu yake iliyoitwa "Jesus of Nazareth".

Na waigizaji waliogiza kama Yesu wa hekaya za Biblia ni waigizaji kutoka Uingereza Brian deacon na Robert Powell.

Source: Wikipedia Jesus of Nazareth (TV series) - Wikipedia
"""BWANA amejaa huruma na neema, Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili."""
Zaburi 103.
 
Mkuu i hope one day utakuja kurudi hapa na USHUHUDA wa ajabu kuhusu ukuu wa MUNGU ni suala la mda tu!
Huyo Mungu hajawahi kuwepo na wala hayupo.

Hakuna cha ushuhuda. Na wala huyo Mungu hana ukuu wowote.

Ni imani zenu za kusadikika tu.
 
"""BWANA amejaa huruma na neema, Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili."""
Zaburi 103.
Huyo BWANA angekuwa amejaa huruma na neema. Kusingekuwepo na maelfu ya watoto na wanawake wanaoteseka na kufa kwa njaa, vita, magonjwa na umaskini licha ya kuwa wanamtumaini huyo Bwana.
 
Huyo BWANA angekuwa amejaa huruma na neema. Kusingekuwepo na maelfu ya watoto na wanawake wanaoteseka na kufa kwa njaa, vita, magonjwa na umaskini licha ya kuwa wanamtumaini huyo Bwana.
MUNGU ameacha hayo yatokee sio kwamba haoni,,, ili kila mtu afanye uchaguzi wake kati YAKE na shetani nani anapaswa kuabudiwa!
 
MUNGU ameacha hayo yatokee sio kwamba haoni,,, ili kila mtu afanye uchaguzi wake kati YAKE na shetani nani anapaswa kuabudiwa!
Basi huyo Mungu ni mpumbavu sana.

Mungu anayeacha uovu utokee ili kila mtu achague, ni Mungu mpumbavu na mwendawazimu kabisa.
 
Wametengeneza logical contradictions nyingi sana pasipo wao kutambua, Huku wakiaminisha umma kwamba Biblia ni neno la Mungu.

Mungu ambaye anaaminiwa ni mjuzi wa vyote hawezi kuwa na neno lenye logical contradictions.

Hivyo waandishi wa Biblia ni wajinga tu.

Na Biblia wala si neno la Mungu.

Bali hadithi za wajinga wa kale.
Yes sio sawa kabisa.

Lakini kwa jicho zuri huenda walikuwa na maana nzuri so kuwaita wajinga si vyema
 
Back
Top Bottom