Ndio ushahidi umeleta Huo?nimetoa kwenye post za nyuma
Ndio ushahidi umeleta Huo?nimetoa kwenye post za nyuma
mwanzo 2:21Ndio ushahidi umeleta Huo?
Huyu Mungu wa Israel nina wasiwasi nae. Ni kwa nini asiwaumbe Adam na Eva kwa wakati mmoja? Ina maana anawadharau wanawake?Je Mungu ni mwizi,
kwani si
alimtia
Adamu usingizini
Kisha akamwimbia
Ubavu wake
Mmoja?
unajua hata kwenye biblia wanawake hawajahesabiwaHuyu Mungu wa Israel nina wasiwasi nae. Ni kwa nini asiwaumbe Adam na Eva kwa wakati mmoja? Ina maana anawadharau wanawake?
Shukrani , unaweza kuniambia huyo anayesema maneno hayo ni Nani ?mwanzo 2:21
na mboga sio bangiBangi sio mboga
ni nabii wa mungu MussaShukrani , unaweza kuniambia huyo anayesema maneno hayo ni Nani ?
dhambi ya kufuru ni yaaje?Dhambi zote atakazozifanya mwanadamu atasamehewa..lakini dhambi ya kumkufuru mungu iyo hatasamehewa kamwe na ni dhambi ya mauti
Alikuwepo wakati Huo? Unao ushahidi wa Nabii Musa kusema au kuandika maneno hayo?ni nabii wa mungu Mussa
ushahidi ni kwenye kitabu kitakatifu cha MunguAlikuwepo wakati Huo? Unao ushahidi wa Nabii Musa kusema au kuandika maneno hayo?
Lete ushahidi Nabii Musa alikuwepo. Na aliandika kutoka hicho kitabu kitakatifuushahidi ni kwenye kitabu kitakatifu cha Mungu
nin point yako kubwa kwahy unamaanisha kuna watu waliyaandika kwa manufaa yao?Alikuwepo wakati Huo? Unao ushahidi wa Nabii Musa kusema au kuandika maneno hayo?