Matunzo 02
JF-Expert Member
- Jul 7, 2026
- 749
- 1,492
- Thread starter
- #61
Mungu kamchoma Adam diazepam na Adam kalala fofofo Kama kapigwa General Anaesthesia hivyo bwana Mungu akafanya Laparatomy
Mungu kamchoma Adam diazepam na Adam kalala fofofo Kama kapigwa General Anaesthesia hivyo bwana Mungu akafanya Laparatomy
mkuu tusaidie kuchaganya maana watu wameshidwa kujibu wamealalisha jibu angali nimeuliza swali tu
Lete ushahidi Nabii Musa alikuwepo. Na aliandika kutoka hicho kitabu kitakatifunin point yako kubwa kwahy unamaanisha kuna watu waliyaandika kwa manufaa yao?
hakuwepo ila alipokea mafunuo kutoka kwa MUNGULete ushahidi Nabii Musa alikuwepo. Na aliandika kutoka hicho kitabu kitakatifu
hakuwepo ila alipokea mafunuo kutoka kwa MUNGU
Je Mungu ni mwizi,
kwani si
alimtia
Adamu usingizini
Kisha akamwimbia
Ubavu wake
Mmoja?
Hayo ni maoni yako lakini , Biblia ya NIV imeandika hivi :-
Kitabu cha Mwanzo (Genesis):
"Kihistoria, Wayahudi na Wakristo kwa pamoja wameamini kwamba Musa ndiye aliyekuwa mwandishi au mkusanyaji wa vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale. Vitabu hivi, vinavyojulikana pia kama Pentateuko (yaani, 'kitabu chenye juzuu tano'), vilijulikana katika mapokeo ya Kiyahudi kama sehemu tano za Sheria (ya Musa). Biblia yenyewe inaashiria kwamba Kitabu cha Mwanzo kilihusishwa na Musa, kwa kuwa Matendo 15:1 kinarejelea tohara kama 'desturi aliyofundisha Musa,' jambo linaloashiria Mwanzo 17. Hata hivyo, kuna dalili kwamba baadhi ya marekebisho ya baadaye ya uhariri yalifanywa (tazama, kwa mfano, maelezo kuhusu Mwanzo 14:14; 36:31; na 47:11)."
(kutoka The NIV Bible Commentary [1], ukurasa wa 2.)
ni kweli na asante kwa kunifungua ufahamuSwali lako linategemea simulizi la Kitabu cha Mwanzo. Kulingana na simulizi hilo, Mungu hakumuibia Adamu ubavu wake.
Kwanza, kila kitu ni mali ya Mungu, ikiwemo Adamu mwenyewe. Pili, Mwanzo 2:21–22 unasema Mungu alimlaza Adamu usingizi mzito, akachukua ubavu mmoja na kutokana nao akamfanya Hawa kuwa msaidizi wake. Hakuna sehemu inayosema Adamu alipinga au kwamba Mungu alifanya kitendo hicho kwa dhuluma.
Kwa hiyo, hata kwa mujibu wa Biblia, kitendo hicho hakiwezi kuitwa wizi, kwa sababu wizi ni kuchukua mali ya mwingine bila haki au ruhusa. Kwa simulizi hilo, Mungu ndiye Muumba wa Adamu na alifanya hivyo kwa kusudi la kumuumba mwenzi wake.
Kama mtu haamini simulizi hilo, anaweza kulikosoa au kulihoji, lakini kuliita "wizi" si matumizi sahihi ya neno hilo hata kwa mujibu wa simulizi lenyewe
1.Hivi kule Hospitali wakitaka kuondoa kiungo,tumor au kupandikiza chochote mwilini mwako huwa wanafanya bila ganzi au inakuwa ni kama yule "jamaa" aliyesema watatutahiri bila ganzi?Je Mungu ni mwizi,
kwani si
alimtia
Adamu usingizini
Kisha akamwimbia
Ubavu wake
Mmoja?
Watakuja kukuambia Udongo uliisha.inafikirisha
kumbuka hilo ni swali rejea neno "je" inafaa kujibu sio kuprove kama nimesema ni kwel1.Hivi kule Hospitali wakitaka kuondoa kiungo,tumor au kupandikiza chochote mwilini mwako huwa wanafanya bila ganzi au inakuwa ni kama yule "jamaa" aliyesema watatutahiri bila ganzi?
2.Mbona maandiko yanasema ..".akatawaa" .... Kwani mwandishi kilimshinda nini kuandika akamwibia?
NB: Kitabu kilichorejelewa hapo (Biblia) sio kitabu cha kusoma kama Hekaya za Abunuwasi.
napo nitafikilia udongo huo aliutoa wap mpaka uisheWatakuja kukuambia Udongo uliisha.
Mkuu unamaanisha hii tabia ya vibaka kupulizia watu dawa za usingizi mzito majumbani na kisha kuwaibia muasisi ni Sir. God?!😂Je Mungu ni mwizi,
kwani si
alimtia
Adamu usingizini
Kisha akamwimbia
Ubavu wake
Mmoja?
Kwa uwezo aliokuwa nao kulikuwa na hajagani yakumtoa ubavu adam?! Si angesema tu neno na akatokea Hawa.Vitu vingine vyote aliumba kwa neno Adam tu ndo akamfinyangafinyanga kwa udogo😁Mwanzo2:21
(Bwana mungu akamletea adamu usingizi mzito, naye akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahali pake)
Hivi Mungu agemuomba adamu ubavu mmoja asigempa mpaka amwibie?
Ok. Nami nimejaribu kufananisha hiyo scenario na Protocal za Hspitali (Theater)kwa maana ya kufanya jambo kwa utaratibu bila madhara.kumbuka hilo ni swali rejea neno "je" inafaa kujibu sio kuprove kama nimesema ni kwel
kila jambo muasisi ni M-nguMkuu unamaanisha hii tabia ya vibaka kupulizia watu dawa za usingizi mzito majumbani na kisha kuwaibia muasisi ni Sir. God?!
kwani M-ngu alimkuta adamu anafanya nin mpaka kusema siyo vyema kuwa peke yake?Kwa uwezo aliokuwa nao kulikuwa na hajagani yakumtoa ubavu adam?! Si angesema tu neno na akatokea Hawa.Vitu vingine vyote aliumba kwa neno Adam tu ndo akamfinyangafinyanga kwa udogo
Upweke ndo ulikuwa unamsumbua jamaa😁😁😁kwani M-ngu alimkuta adamu anafanya nin mpaka kusema siyo vyema kuwa peke yake?
ni kweli mkubwa tunavyowaza sio kama M-ngu hili swali niliulizwa na mtu nilipomwambia kuiba ni dhambiEh! hii nayo kali... Umetisha Matunzo 02
Ndiyo maana MUNGU anasema "mawazo yangu si mawazo yenu wala njia zangu si njia zenu"
ISAYA 55:8,9