Je, MUNGU ni mwizi?

Je, MUNGU ni mwizi?

Kwani huyo aliyetoka ubavuni si alirudishwa kwa huyohuyo aliepewa usingizi?
Adamu alipo amka asema wewe ni nyama katika nyama yangu mifupa katika mifupa yangu na akawa mke wake.
Angetolewa ubavuni apewe mwingine sawa, ila hapo ni sawa na wewe kutoa hela mfuko wakushoto uweke mfuko wakulia, hapo utakua umejiibia?

Naomba kuwasilisha ndugu mwenye kiti
 
Back
Top Bottom