Mbezi vurugu ni nyingi sana hakufahi hata kuishi km upo serious, ni sawa na Mbagala. Watu wengi bila mpangilio alafu wamekariri kununua kila kitu Kkoo.Mbona hawa jamaa route ya Mbezi To Kivukoni na Gerezani zimewashinda kuziudumia vizuri sasa wakianza route huko mbagala itakuwaje
Tunakuwa tunatengeneza Tatizo kabla halijaisha tunatengeneza tatizo jingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app