diamond d
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 812
- 2,048
Nanyinyi wabongo muwe mnajiongeza, unapotazama 3D images or videos, bas ukumbuke kuwa ule ni mfano wa uhalisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbagala wasrabu wengi sa hiviMbona naona waarabu, siyo mnatuingiza chaka!
Bora miundombinu iwepo kwanzaMbona hawa jamaa route ya Mbezi To Kivukoni na Gerezani zimewashinda kuziudumia vizuri sasa wakianza route huko mbagala itakuwaje
Tunakuwa tunatengeneza Tatizo kabla halijaisha tunatengeneza tatizo jingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Bomoabomoa kweli haitahusika kweli? Ila mbagala kwa sasa haina shida sana ya Usafiri kwa sababu Mabasi aina ya EICHER yako mengi sana
Hahaaaaaaaaa mimi mwanzoni nilivyokuwa naonaga nikawa najisema moyoni loool eneo ili litakuwa kama metro station hivi za ulaya kuja kuaingia nikasema ni hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Bomoabomoa kweli haitahusika kweli? Ila mbagala kwa sasa haina shida sana ya Usafiri kwa sababu Mabasi aina ya EICHER yako mengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
hii nchi kwa kudesign prototype tupo vizuri ila implementation yake sasa utashangaa yaleyale ya daraja la mfugale
Hamna tofauti kabisa, ninachokiona kwenye mchoro ndicho walichojengaTatizo hamjui kusoma michoro na hamjui pia kufanya right comparison. Design ya Mfugale na kilichojengwa pale hakina tofauti.
Nakuwekea hapa kilichoonyeshwa siku ya uzinduzi halafu nitaomba utuonyeshe kitu kimoja baada ya kingine ambacho kiko tofauti na uhalisia uliojengwa pale
View attachment 1002377
View attachment 1002378
View attachment 1002379
View attachment 1002380
Nadhani utata upo sehem ndogo sana yaan hata kama kilichojengwa ndo kile kilichopo kwenye mchoro watu wanahitaji kije na sura ile ile kama rangi na ule ukijani wake ambao huoneshwa kwenye 3D Photoshop
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ni kwamba kwenye mchoro ilikua "flying over" ila kilichopo ni daraja linalopita juu ya barabara,yaani lile daraja ni kama lile la wilaya ya mwanga ambako treni inapita juu,tofauti tu ni kwamba hili la mfugale juu gari na chini gari.Ni nini ambacho kiko tofauti na design pale Mfugale??
Sasa kama mvua hazijanyesha huo ukijani utatoka wapi?Nadhani utata upo sehem ndogo sana yaan hata kama kilichojengwa ndo kile kilichopo kwenye mchoro watu wanahitaji kije na sura ile ile kama rangi na ule ukijani wake ambao huoneshwa kwenye 3D Photoshop
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wengi wetu tuna inferiority complex vichwan mwetu ujue hilo, pia ukitaka kumuelimisha mbongo akuelewe lazima ujipange maan hata matusi utapewa pia elimu yetu wengi wanakalili tu kiasi wanashindwa kujiongeza just a single step ahead.Uko sawa kabisa. Kilichojengwa ni kilekile kilicho kwenye design, watu wanataka waone rangi rangi zile kitu ambacho vingine ni still a work in progress.
View attachment 1002385View attachment 1002386
Kwanza wengi wetu tuna inferiority complex vichwan mwetu ujue hilo, pia ukitaka kumuelimisha mbongo akuelewe lazima ujipange maan hata matusi utapewa pia elimu yetu wengi wanakalili tu kiasi wanashindwa kujiongeza just a single step ahead.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maanisha 'grills' sio?Wamumbuke tu kuweka drill kwenye madirisha na milango ya mwendokasi
Tofauti ni kwamba kwenye mchoro ilikua "flying over" ila kilichopo ni daraja linalopita juu ya barabara,yaani lile daraja ni kama lile la wilaya ya mwanga ambako treni inapita juu,tofauti tu ni kwamba hili la mfugale juu gari na chini gari.