OleWako
New Member
- Sep 7, 2021
- 4
- 5
Timu kubwa za nchi, Simba na Yanga, zote mbili zimezindua jezi mpya zao kwa msimu 22/23.
Styles zao zinatofautiana sana. Paintbrush elements za Simba kwenye kila jezi zinapigana na alama za vidole za Yanga.
Siku hizi si Simba vs. Yanga tu kwenye mada za jezi. Tangu msimu 20/21, GSM na VunjaBei zinashindana kutengeneza jezi nzuri zaidi kwa timu zao.
Mnasemaje, nani ameshinda msimu huu wa jezi? Simba au Yanga? VunjaBei au GSM?
Na uzi upi mnapenda zaidi kuliko zote zilizozinduliwa?
Styles zao zinatofautiana sana. Paintbrush elements za Simba kwenye kila jezi zinapigana na alama za vidole za Yanga.
Siku hizi si Simba vs. Yanga tu kwenye mada za jezi. Tangu msimu 20/21, GSM na VunjaBei zinashindana kutengeneza jezi nzuri zaidi kwa timu zao.
Mnasemaje, nani ameshinda msimu huu wa jezi? Simba au Yanga? VunjaBei au GSM?
Na uzi upi mnapenda zaidi kuliko zote zilizozinduliwa?