Je Mnamkumbuka Kitwana Kondo

Mimi namkumbuka kwa kuwa alikuwa discontinued chuo Kikuu kwa kuwa alikuwa kilaza.

Yes mkuu Bongo, nilipokuwa pale mlimani nilisikia tetesi kuwa bwan KK pamoja na wengine wawili ndio walikuwa wanfunzi wakwanza wa UDSM tena walianzia pale Manazimmoja kabla kule mlimani hakuja jengwa na kwamba mwaka wao huo ni wanafunzi wawili tu ndio walifanikiwa kugraduate yeye alidisco!

That's the only thing I remember about him!

Anaye uliza ilikuwaje akapewa umeyor, man remembe those days angeweza hata kuchukua Unyerere.......form four walikuwa wanapewa ukurugenzi wa makampuni sembuse huyu aliye disco Universirty mkuu?
 
mnao sema KK kampa mwanae amuoe Mzee Mwinyi wekeni ushahidi wenu hapa..Jina la Mtoto....tunavyokumbuka ule uzushi wa magazeti....wakati ule...!!!

Sofia Simba kama mnavyoambiwa alikuwa mkewe, na alibadili Dini, walipoachana na KK amerudi ktk Dini yake.

Sina Hakika Madudu aliyoyafanya KK wakati wake...ila kama mnataka kujikumbusha, basi ni vema mkaweka historia tangu after uhuru...ya huyu Bwana KK...

Jiji la DSM, limekuwa likitafunwa from Top to Down...wakati mwingine unashindwa kujua maamuzi ya Jiji au ya Serikali Kuu....
 
Big up mtoa mada/thread mambo haya hata kama c kuyapeleka pccb (ambao kimsingi hawana meno/hawajaonyesha makali yao) lkn pia inasaidia kukumbuka historia hata kuunga dots za haya yanayotokea leo ndani ya serikali ya ccm
 
Mzee KK alikuwa mtata sana ila nilimtoa maana alipopanda jukwaani na kuanza kuwatusi Wakristu
 
Back
Top Bottom