Bila shaka sasa ccm inapita kati kati ya moto japo moto ni mkali ila watapita salama. Wivu, chuki na ulevi wa madaraka ndio siri yawanao ihama ccm, na kwa ufupi tu wataalam wa siasa walishajuwa haya kitambo ila yalikuwa hayana budi kutokea ili ccm iweze kusonga mbele, ndio wamekisaliti chama ila sii rahis samaki kumtoa baharini nakumfugia nyumban, hata kama utatumia maji yaleyale uliomvulia mwisho atakufa. Walio ondoka ccm wamejimaliza wenyewe na hakuna wakumlaumu. Mwisho wao ni 25OCT2015 watakuwa wapweke na wapweke na mwisho mnaujuwa wenyewe.