Kwani Kingunge ni CCM?Kwahiyo unamaanisha kingunge mchawi, nyie mbona hamna shukurani!
Kwani Kingunge ni CCM?Kwahiyo unamaanisha kingunge mchawi, nyie mbona hamna shukurani!
Unadhani kwanini CCM wlichakachua katiba? Usijitoe ufahamu.Hao waliohama ccm ndiyo waasisi na walezi wa ufisadi na ndiyo wamehamia chadema baada ya kuona kwenye kiota Chao kaingia nyuki
Bila shaka sasa ccm inapita kati kati ya moto japo moto ni mkali ila watapita salama. Wivu, chuki na ulevi wa madaraka ndio siri yawanao ihama ccm, na kwa ufupi tu wataalam wa siasa walishajuwa haya kitambo ila yalikuwa hayana budi kutokea ili ccm iweze kusonga mbele, ndio wamekisaliti chama ila sii rahis samaki kumtoa baharini nakumfugia nyumban, hata kama utatumia maji yaleyale uliomvulia mwisho atakufa. Walio ondoka ccm wamejimaliza wenyewe na hakuna wakumlaumu. Mwisho wao ni 25OCT2015 watakuwa wapweke na wapweke na mwisho mnaujuwa wenyewe.
Kwa bahati nzuri mipango hiyo ya kuiangusha CCM inafanywa na mafisadi. Potelea mbali. CCM itanyanyuka na kushinda uchaguzi kwa kishindo
Kwa bahati nzuri mipango hiyo ya kuiangusha CCM inafanywa na mafisadi. Potelea mbali. CCM itanyanyuka na kushinda uchaguzi kwa kishindo
Hao waliohama ccm ndiyo waasisi na walezi wa ufisadi na ndiyo wamehamia chadema baada ya kuona kwenye kiota Chao kaingia nyuki
Unadhani kwanini CCM wlichakachua katiba? Usijitoe ufahamu.
Mpango uligota baada ya kuvua gamba na kuvaa gwanda!Bila shaka sasa ccm inapita kati kati ya moto japo moto ni mkali ila watapita salama. Wivu, chuki na ulevi wa madaraka ndio siri yawanao ihama ccm, na kwa ufupi tu wataalam wa siasa walishajuwa haya kitambo ila yalikuwa hayana budi kutokea ili ccm iweze kusonga mbele, ndio wamekisaliti chama ila sii rahis samaki kumtoa baharini nakumfugia nyumban, hata kama utatumia maji yaleyale uliomvulia mwisho atakufa. Walio ondoka ccm wamejimaliza wenyewe na hakuna wakumlaumu. Mwisho wao ni 25OCT2015 watakuwa wapweke na wapweke na mwisho mnaujuwa wenyewe.
Kwa bahati nzuri mipango hiyo ya kuiangusha CCM inafanywa na mafisadi. Potelea mbali. CCM itanyanyuka na kushinda uchaguzi kwa kishindo
Kushinda kwa kupigiwa kura na nani mkuu..kuna option moja tu kwa ccm kurudi madarakani...kuiba kura tena kwa kuiba nyingi mno!nyie mnaoiunga mkono fisiem ni vibaraka mlopandikizwa au hujielewi kwa kupewa vijisenti kidogo..hamwaonei huruma watanzania waliowengi wanaishi kwa mlo moja kwa siku?shame on you!kwa nn mnafumba macho?mungu awalaani mpk muingiapo makaburini mwenu.,na historia itawahukumu!