Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 814
- 1,057
- Nina maumivu makali ya nyonga
- Maumivu makali chini ya kitovu (kwa pembeni)
- Mkojo ni wenye harufu mbaya kupita kiasi
- Nilishaweka mkojo kwenye container, kesho yake nikakuta unatoa wadudu (Funza)
- Nilishawahi kua na maambukizi ya njia ua mkojo (UTI) kwa muda mrefu (for almost 7 years ago na imekua ikijirudia) lakini kwa sasa kila nikenda hospital kufanya check up naambiwa sina UTI
- Nikiwa nafua kuinama na kuinuka kunanipa maumivu makali mno ya kiuno yanayopanda mpaka kwenye mgongo..
- Mkojo Unatoka na rangi za ajabu mixer kamba kamba mle ndani
Wakuu , mimi nina tatizo gani? au ndo organ hazifunction, au ndo nishaua figo