Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 13,079
- 30,347
Hata mimi nimeshangaa , ulimwenguni hapa watakua wamebaki wawili tu.We ndo mwanaume wa kwanza nakuskia unakataa mbususu sababu mda umeenda
Hata mimi nimeshangaa , ulimwenguni hapa watakua wamebaki wawili tu.We ndo mwanaume wa kwanza nakuskia unakataa mbususu sababu mda umeenda
Na Mimi Nina mashaka na huyu jamaa! Watanzania wanaume hatuko hivi!Wewe Mtanzania kweli??
Hongera. Ila ninachojua kuna wakati wapenzi huwa wanaambiana kuwa leo siko sawa. Kwa sababu lile tendo linahitaji pia mtu awe na utayari kiakili na kihisia sio tu kama kuku jike anavyopandwa na jogooNampa vizuri labda niwe mgonjwa.
Ndo hivyo kiongozi
😂Wewe Mtanzania kweli??😳😳
So wewe hukuwa tayari kumbe sio kwamba muda ulikubana kama ulivyobainisha hapo juu?Hongera. Ila ninachojua kuna wakati wapenzi huwa wanaambiana kuwa leo siko sawa. Kwa sababu lile tendo linahitaji pia mtu awe na utayari kiakili na kihisia sio tu kama kuku jike anavyopandwa na jogoo
AmiinYote kheri huwezi jua pengine Mungu amekunusuru na jambo baya,
Maisha mengine yaendelee.
Na muda pia kesho yake asubuhi mapema nilikuwa na issue ya muhimu😂
So wewe hukuwa tayari kumbe sio kwamba muda ulikubana kama ulivyobainisha hapo juu?
Nilikuwa nakujibu upande wako kwamba wewe si umesema muda wowote jamaa akitaka unampa tunda, ndo nikasema wewe unakuwa kama kuku jike muda wowote unapandwa na jogoo hauna kujiandaa kiakili wala kihisia😂
So wewe hukuwa tayari kumbe sio kwamba muda ulikubana kama ulivyobainisha hapo juu?
Rafiki kwani huyo mpenz wako alitaka mlale hadi asubuh? Hukuweza mtimizia haja zake hata lisaa tu?Na muda pia kesho yake asubuhi mapema nilikuwa na issue ya muhimu
Pole ulivokataa mwenzio kawaza mengi mayb hakuvutii?, kwa siku hio hakutokelezea kivile, may b anakasoro fulani😅😅😅😅😅Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.
Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa kwa sababu muda ulikuwa umeenda nikamwambia tugegedane siku nyingine. Alikubali ila kinyonge sana.
Baadaye alinilaumu ila mimi nikachukulia poa. Baada ya kulalamika siku moja nikamwambia niko tayari akakataa. Nilimtumia meseji hakujibu nilimpigia simu hapokei. Na kwa kuwa mimi huwa sipendi sana kubembeleza tumemwagana, hatuna mawasiliano ila tukikutana zimebaki salamu tu. Ila kikweli bado namtamani hata leo akisema ananipa game sikatai.
Inaniuma sana mpaka tunaachana sikuwahi kula mbususu yake.
Je, mimi ndiye mzembe au demu ndio kazingua? Ushauri wenu tafadhali
Alitaka tulale hadi asubuhi hapo ndo shida ilipoanziaRafiki kwani huyo mpenz wako alitaka mlale hadi asubuh? Hukuweza mtimizia haja zake hata lisaa tu?
Wewe kujiandaa kiakili inakuchukua miezi ama inakuaje? Mimi mpenzi wangu akianza tu kunipapasa ngoma inaamka sasa wewe unamaanisha kujiandaa kwa namna gani?Nilikuwa nakujibu upande wako kwamba wewe si umesema muda wowote jamaa akitaka unampa tunda, ndo nikasema wewe unakuwa kama kuku jike muda wowote unapandwa na jogoo hauna kujiandaa kiakili wala kihisia
Nimekuelewa sana dada yangu. Katika hayo uliyoongea naamini huenda kuna baadhi ya vitu kama hivyo vilikuwa akilini mwakePole ulivokataa mwenzio kawaza mengi mayb hakuvutii?, kwa siku hio hakutokelezea kivile, may b anakasoro fulani😅😅😅😅😅
By the way sisi other gender once ukizingua waga hatuna muda wa kulook back especially kama tukirequest ukakataa
tafta mwingine