Je, mimba itakuwa imetoka au bado?

Je, mimba itakuwa imetoka au bado?

Hiyo mimba imetoka kaka! Tena imetoka kwa usalama mkubwa! Ukiona umetoa mimba af damu nyingi zinatoka sehem za siri tena kwa siku nyingi hiyo mimba haijatoka vizuri(incomplete).. imetoka tena vizuri kuwa na amani
ndo iwe siku mbili tu
 
ndo iwe siku mbili tu
Yah mimba ya mwezi mmoja ni ndogo sana kaka! Mwanamke kutokwa na damu nyingi na kwa siku nyingi sio ndo kwamba mimba imetoka ila ni ishara kwamba haijatoka yote! Hiyo mimba imetoka kaka muulize kama kama bado anahisi dalili zozote za mimba!
 
Hiyo mimba imetoka kaka! Tena imetoka kwa usalama mkubwa! Ukiona umetoa mimba af damu nyingi zinatoka sehem za siri tena kwa siku nyingi hiyo mimba haijatoka vizuri(incomplete).. imetoka tena vizuri kuwa na amani
Naonga mkono hoja! Tena imetoka salama kabisa!
 
Sijui kwanini mnatumia dawa bila kuwa na elimu tosha dhidi ya dawa??
Ulitumia dawa zipi? Combination ya misoprostsol na mifepristone au misoprostol peke ake??
Na hizo dawa alitumia kwa njia gani? Oral,sublingual au per vagina??
 
Yah mimba ya mwezi mmoja ni ndogo sana kaka! Mwanamke kutokwa na damu nyingi na kwa siku nyingi sio ndo kwamba mimba imetoka ila ni ishara kwamba haijatoka yote! Hiyo mimba imetoka kaka muulize kama kama bado anahisi dalili zozote za mimba!
baadhi ya dalili bado zipo mfano hapendi wali kabisa na harufu ya mafuta yangu nayopaka,,ila dalili zingine kama uchovu na kulala sana saiv hazioni
 
baadhi ya dalili bado zipo mfano hapendi wali kabisa na harufu ya mafuta yangu nayopaka,,ila dalili zingine kama uchovu na kulala sana saiv hazioni
Imetoka hiyo mimba! Dalili zote haziwezi toka kwa siku moja! Uchovu na kulala ndo dalili zinazoondoka mapema
 
Sijui kwanini mnatumia dawa bila kuwa na elimu tosha dhidi ya dawa??
Ulitumia dawa zipi? Combination ya misoprostsol na mifepristone au misoprostol peke ake??
Na hizo dawa alitumia kwa njia gani? Oral,sublingual au per vagina??
alitumia combination zote miso na mife,,mbili iliweka kwa vaginal mbili akanywa na maji.
 
Mbona unacheza nas maisha ya huyo wifi sana
Yani dokta aliandika tu miso na wewe ukanunua kienyeji tu
Aiseeeeeeeee
Watanzania sisi ujinga ni mwingi sana
 
Hiyo procedures ilitakiwa ifanyike hospital under usimamizi wa Dr, yeye ndo angeweza kufollow upp from day one mpaka mgonjwa akae sawa kaka tunaishi once msicheze na maisha kama karata
 
Sijui kwanini mnatumia dawa bila kuwa na elimu tosha dhidi ya dawa??
Ulitumia dawa zipi? Combination ya misoprostsol na mifepristone au misoprostol peke ake??
Na hizo dawa alitumia kwa njia gani? Oral,sublingual au per vagina??
Hivi hizi dawa hua zinauzwa pharmacy?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom