Mimi nina swali kwa Mh. Raisi, hivi kaamua kutususia Nchi au, maana kuna matatizo lukuki hapa Nchini yanaendelea na yeye yupo kimya, mfano ni Mfumuko wa bei, wanafunzi kufeli kuliko kawaida, vurugu za kidini, bunge kugeuka kijiwe na mengineyo mengi tu, Mh. Raisi ndio kiongozi wa Nchi ameamua kukaa kimya, kwa sasa ni kama Nchi inajiendesha/inajiongoza yenyewe hakuna kiongozi.
Labda anasubiri mwisho wa mwezi kama mshahara.
Itakuwa ni matumizi mabaya ya muda kama Rais ataanza kuongelea masuala ambayo nidhahiri yanafanywa na baadhi ya watu wachache kwa lengo la kuivuruga nchi, labda tumlaumu kwa kuchelewa kuwachukulia hatua. Maandamano ya wanasiasa, vurugu za kidini, kelele za wabunge za kujitafutia umaarufu si mambo ya kuongelea Rais zaidi ya kuwahukulia hatua wote wenye kuleta chokochoko .
Itakuwa ni matumizi mabaya ya muda kama Rais ataanza kuongelea masuala ambayo nidhahiri yanafanywa na baadhi ya watu wachache kwa lengo la kuivuruga nchi, labda tumlaumu kwa kuchelewa kuwachukulia hatua. Maandamano ya wanasiasa, vurugu za kidini, kelele za wabunge za kujitafutia umaarufu si mambo ya kuongelea Rais zaidi ya kuwahukulia hatua wote wenye kuleta chokochoko .
Mimi nina swali kwa Mh. Raisi, hivi kaamua kutususia Nchi au, maana kuna matatizo lukuki hapa Nchini yanaendelea na yeye yupo kimya, mfano ni Mfumuko wa bei, wanafunzi kufeli kuliko kawaida, vurugu za kidini, bunge kugeuka kijiwe na mengineyo mengi tu, Mh. Raisi ndio kiongozi wa Nchi ameamua kukaa kimya, kwa sasa ni kama Nchi inajiendesha/inajiongoza yenyewe hakuna kiongozi.
JK aerial coverage in 7 years!
Rais ambae hawezi kufanya maamuzi.Anasubiri hadi upepo upoe na jambo liishe lenyewe!Kweli Rahisi tunae!ameharibu ile taasisi imekuwa kama NGO ambayo hata waliomaliza form 4 juzi wanaweza kuwa Rais!
JK aerial coverage in 7 years!
Mkuu mi napata taabu kuelewa ulichoandika hapa, hebu rudia kuisoma then utagundua kuwa haujasomeka.
mtu ukikaa peke yako chumbani huna kazi unaanza kujiwazia mambo ya ajabu ajabu tu.
Mimi nina swali kwa Mh. Raisi, hivi kaamua kutususia Nchi au, maana kuna matatizo lukuki hapa Nchini yanaendelea na yeye yupo kimya, mfano ni Mfumuko wa bei, wanafunzi kufeli kuliko kawaida, vurugu za kidini, bunge kugeuka kijiwe na mengineyo mengi tu, Mh. Raisi ndio kiongozi wa Nchi ameamua kukaa kimya, kwa sasa ni kama Nchi inajiendesha/inajiongoza yenyewe hakuna kiongozi.
Mkuu Kanga, sijabahatika kupewa tenda yoyote ya publicity ya Ikulu. Ikitokea, tutaifanya ili kuhakikisha 2015, Watanzania wanaiaminia tena CCM na kuipatia fursa nyingine ya kuendelea kututawala na kutuletea maendeleo mengine makubwa zaidi ya barabara za juu kwa juu na daraja la kigamboni!.Jiandaeni kubeba misalaba ya kulipia safari na perdiem kwenye bajeti kwa misimu miwili kuanzia mwaka huu Pasco hujapewa tenda ya kuandaa documentary ya uongozi na mambo mazuri ya JK 2005-2015?