Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Leo ni takribani siku ya nne sasa umeme haujakatika sasa najiuliza mgao umeisha au kuna jambo jingine.
bado kidogo.
Leo ni takribani siku ya nne sasa umeme haujakatika sasa najiuliza mgao umeisha au kuna jambo jingine.
Ile hali/tatizo ya kukatikakatika kwa umeme hapa dar es salaam eneo ninaloishi limeisha kabisa.hii ni siku ya nane umeme wa Tanesco kwenye gridi ya taifa haujakatika.nakushukuruni tanesco kwa kusikia kilio chetu.Mungu awabariki sana.mia
Ile hali/tatizo ya kukatikakatika kwa umeme hapa dar es salaam eneo ninaloishi limeisha kabisa.hii ni siku ya nane umeme wa Tanesco kwenye gridi ya taifa haujakatika.nakushukuruni tanesco kwa kusikia kilio chetu.Mungu awabariki sana.mia