Je, mfumbua mambo ndiye yeye mwenye kuisoma karatasi nyeupe ya siri 2025?

Je, mfumbua mambo ndiye yeye mwenye kuisoma karatasi nyeupe ya siri 2025?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,250
Reaction score
3,451
Tulipata fununu huko JamiiForums na kuambiwa kama mambo yakiharibika kabisa basi pataitishwa baraza la siri la wazee na makachero wabobezi wenye siri za Taifa hili na ndani ya kikao hicho yatasemwa mengi mepesi na mazito baada ya hapo kachero wa siri ambaye amewahi kuwa katika vyumba vya siri vya Taifa atakuwa amekabidhiwa karatasi ya siri kutoka katika vyumba vya siri vya Taifa, ndipo itasomwa wenye nguvu watalia na kufuta machozi wenye imani ndogo watazimia na kukimbizwa hospital za siri za Taifa.

Baada ya hapo atachaguliwa mzee mmoja ambaye anaheshimika sana katika michakato mbalimbali kama ule wa Katiba Mpya mwenye kukubalika na Chama tawala, atapanda kwenye mimbari na kutoa mwelekeo mpya wa Taifa la Tanzania, na hapo litapatikana Taifa jipya la haki na amani.
 
Hata siamini!
Na hasa ninavyofahamu namna chama dola kilivyo na mizizi mirefu kwenye kila idara. Labda iondolewe kwanza hiyo mizizi mirefu, ndiyo lolote sasa linaweza kutokea.
Hakuna Cha mizizi mirefu ma DG wangapi wa TISS wamebadilishwa yangu Maza aingizwe ulingoni

Nikuto kujielewa kwetu hata Steve Mangale aka Nyerere kesho akiwa president atatugalagaza atakavyo
 
Hivi mbona sa100 ni muda sasa haonekani akisafiri katika zile nchi za wazungu nini kimetokea?
 
Hii ishu itakwenda kama ilivyokuwa scandal ya Watergate iliyokuja kumng'oa madarakani Rais Richard Nixon, watu walipuuza lakini wale madogo wawili waandishi wa Washington Post walivyokuwa wanashuka nayo mdogo mdogo hadi Nixon akawa anaweweseka na kuongea na picha za watangulizi wake ndiyo wasaidizi wake wakamwambia basi mzee inatosha achia ofisi kabla hujavua nguo hadharani. Waliosoma kile kitabu "All the presidents men" wanaelewa.
 
Wanamtandao wana nguvu ndani na nje ya nchi, wa kuwazidi ujanja sijamuona bado
I have tactical solution, but it is very aggressive and no one in all government departments expect that move.

Nikifanya it will trigger a point of no return and potentially some sort of civil war
 
Tufanye subra mkuu wangu, hakuna linaloshindikana chini ya jua hili, kwani hata ya Watergate uchaguzi ulifanyika na Republican wakashinda lakini kashfa ilikuja kukomaa miaka miwili baadaye.
 
I have tactical solution, but it is very aggressive and no one in all government departments expect that move.

Nikifanya it will trigger a point of no return and potentially some sort of civil war
Hii kashfa ishakula kwa CCM Haina comeback.
 
Hii kashfa ishakula kwa CCM Haina comeback.
Mark my words kama Kanisa katoliki na Wakristo watahoji uhalali wa Uchaguzi na kutaka Tume ya Taifa na mifumo ya CCM ifanyiwe auditing.

Basi i will consider their offer na kwa mara ya Kwanza Wanajeshi wa Tanzania watakuwa wa kwanza kufanya maandamano ya Amani
 
Back
Top Bottom