CCM ikipeleka magara jimboni huwatesa wapinzani kwa kuwaibia kuraMbona CDM mmeanza kua na wasiwasi kuliko Wana ccm wenyewe?
Huo utaratibu upo miaka nenda Rudi na ni mzuri Sana kwa wale wacheza rafu na kupanga mashambulizi.
Wapinzani kwa Sasa mnaicheza ngoma ya ccm tu maana ndo gumzo kila Kona.Si bure ndo Mana mliitwa CCM B
Lakini opponent wake si aligawa rushwa ya ambulance dakika za 89Kairuki lazima abebwe.
Kuna mapungufu mengi kwenye mchakato wa watia niaYani nimegundua hata wapigakura za maoni hawako knowledgeable vyakutosha!
Yani vigezo vya jinsi ya kuchagua kujua nani apewe kura havijulkani!
Nimejaribu kuuliza walochukua form mfano watu 40 Je mnatumia vigezo gani vya kuwachagua?
Eti wanazungumza muda mfupi kisha wanapigiwa kura
Eti hakuna mchujo wa Vigezo vya elimu wala uzoefu wa utumishi
Imagine
Yani Bongo bado sana!
Hii ndio kete anayoitegemea Bashite😂😂Tumemsikia mwenyekiti wa CCM Kinondoni akisema majina yote yanakwenda Dodoma na watawachunguza washindi wa kura za maoni kuhoji ushindi wao wameupataje pataje?
Kwa maana nyingine wanatumia vyote vya uchunguzi kupata taarifa, kwa maana hiyo mshindi wa kwanza ikitokea akawa na chuki na wachunguzi au wachunguzi wakiwa na mahusiano na walioshindwa ni lazima watamhujumu mshindi wa kwanza.
Huu ni mfumo wa hovyo na unaweza kupelekea uwepo wa Rushwa kwa washindi kuhitaji taarifa zao ziwe safi pia unaweza kusababisha CCM kuchuja watu safi na kuleta magarasa kwa kisingizio cha uchunguzi wao usio na tija, nini maana ya kura ya maoni? TAKUKURU walikuwepo ni kwa nini hawakumaliza kila kitu huko chini?
Kitendo cha kwenda kumkata mshindi kisha kumleta mtu wa nne au tano ni kuwanyima fursa, kuwakejeli wapiga kura na hapo ndipo upinzani hutumia vizuri madhaifu ya CCM.
Kama aligawa rushwa si akamatwe? Kamati ya usalama na maadili itakuwa sio salama na haina maadili!Kama hamujui ni vyema mkauliza! You utaratibu sio mpya na hupo miaka yote ndani ya CCM, chaajabu umetolea mfano eti Kama wanachuku nawewe!! Yani jamati nzima imchukie mtu mmoja tu?
Ile ni kamati ya usalama na maadili ya chama hiyo ndio inatoa recommendation kuwa huyu alishinda ila aligawa rushwa hivo amekiuka maadili ya chama.
Wamtoe tu mzee wa kubetisha wamuweke yule Pusha ....Mwenyekiti wa Kinondoni kasema eti wataenda kuhoji mshindi kapata pataje ushindi? huyo ni mfumo wa hovyo waliweka Takukuru wa nini sasa kama kuna uchunguzi mwingine hufuata?