PreGE2025 Je, Mbowe anatumika ama anatumiwa?

PreGE2025 Je, Mbowe anatumika ama anatumiwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,520
Reaction score
830,064
Mbowe si muongeaji sana ni mkimya na mtulivu sana! Huwa hapendi kuongea mwanzoni, hupenda kuongea mwishoni na kufunga mjadala.

Ni jambo zuri lakini kuna baadhi ya mazingira hupaswi kukaa kimya muda mrefu sana.

Mwenyekiti huyu mstaafu wa CHADEMA kahusishwa mara nyingi sana na CHAUMMA, chama kilichopokea wale waliokimbia CHADEMA lakini amekuwa kimya kabisa mpaka sasa.

Sasa wahuni waliojitoa CHADEMA wamelitumia jina lake vibaya kuwakusanya viongozi wa mikoani ili akidi itimie wafanye justification ya upigaji.

Baadhi ya viongozi hao wamechukizwa na usanii waliofanyiwa na wameamua kufunguka waziwazi.
 
Mlishashinda uchaguzi na Lisu wenu pambaneni na hali zenu msimsumbue Mbowe
Kawaacha mfanye lolote mtakalo bila kuwaingilia sababu mlisema kazeeka kapitwa na wakati apishe wengine mshike kawapisha
 
Unadhani alipenda kushindwa umwenyekiti?
Kakaa pembeni akisubiri anguko la CDM.... sikuzote adui ni wa karibu sana au wa ndani kwako.

"Si ulijifanya unaweza tuone sasa mwisho wako" .... Mshana Jr mwanadamu ni wa kuogopwa sana,yaan jiogope hata wewe mwenyewe mkuu
Hivi umeelewa kweli nilichoandika!? Nitajiogopaje wakati najitambua na nimeshavuka hizo hatua?
 
Mbowe hawezi kuwashikia akili watu wazima wale.

Sema wamekosa hoja yenye mashiko wakaamua kujiegemeza kwenye jina la Mbowe.

Mbowe kama anataka kuhamia CHAUMA anaweza kufanya hivyo yuko huru amuogopi mtu yeyote, kwanini afanye siri au achelewe kwenda kama anaenda?

Wao wanalitumia jina lake kutafuta kukubalika au kuonewa huruma na wananchi, kwa umri ulionao sidhani kama unaweza kuhamishwa na mtu, utahama kwa utashi wako.

Dr.Slaa alivyo hama tuliambiwa anahama na nyomi hatukuliona.

Wahame kimya kama kina Silinde, au Dr.Mashinji unahama unakaa kimya, ni maamuzi binafsi huwa sielewi hata press huwa wanafanya za nini?
 
Mbowe si muongeaji sana ni mkimya na mtulivu sana! Huwa hapendi kuongea mwanzoni, hupenda kuongea mwishoni na kufungq mjadala..

Ni jambo zuri lakini kuna baadhi ya mazingira hupaswi kukaa kimya muda mrefu sana
Mwenyekiti huyu mstaafu wa CHADEMA kahusishwa mara nyingi sana na CHAUMMA.. chama kilichopokea wale waliokimbia CHADEMA.. Lakini amekuwa kimya kabisa mpaka sasa

Sasa wahuni waliojitoa CHADEMA wamelitumia jina lake vibaya kuwakusanya viongozi wa mikoani ili akidi itimie wafanye justification ya upigaji
Baadhi ya viongozi hao wamechukizwa na usanii waliofanyiwa.. Na wameamua kufunguka waziwazi
Mbowe bila shaka amekaa kimya kwa sababu anafurahia kinachoendelea CHADEMA. Ila japo anafurahia, kwa maoni yangu simwoni akienda CHAUMMA kwa sababu siyo chama chenye maisha marefu. Kinatumika tu kuvuga mambo sasa hivi na uchaguzi ukishapita watasambaratika.
 
Mbowe si muongeaji sana ni mkimya na mtulivu sana! Huwa hapendi kuongea mwanzoni, hupenda kuongea mwishoni na kufungq mjadala..

Ni jambo zuri lakini kuna baadhi ya mazingira hupaswi kukaa kimya muda mrefu sana
Mwenyekiti huyu mstaafu wa CHADEMA kahusishwa mara nyingi sana na CHAUMMA.. chama kilichopokea wale waliokimbia CHADEMA.. Lakini amekuwa kimya kabisa mpaka sasa

Sasa wahuni waliojitoa CHADEMA wamelitumia jina lake vibaya kuwakusanya viongozi wa mikoani ili akidi itimie wafanye justification ya upigaji
Baadhi ya viongozi hao wamechukizwa na usanii waliofanyiwa.. Na wameamua kufunguka waziwazi
Yote uliosema juu ya Mbowe ni kweli ,lakini binafsi nina watu wawili yani Mbowe na Zitto hawa watu kama unapita nao kwenye njia yenye junction kuwa nao makini.
 
Baada ya uchaguzi si tulimwambia apumzike jamani? Sasa tunamuulizia wa nini tena
 
Mbowe kinachomtesa ni lile ANGUKO maana alijiamini kupita kiasi na alijua saccos yake haiwezi kumsaliti plus mfumo wa serikali pia ulimhakikishia ushindi. Hivyo Mzee yuko kwenye wakati mgumu wa kujitibu huku akiombea mabaya CHADEMA.
 
Hivi umeelewa kweli nilichoandika!? Nitajiogopaje wakati najitambua na nimeshavuka hizo hatua?
Umeelewa nilichoandika mkuu, I meant "huyo mbowe unaemuulizia kimoyomoyo anajisemesha kuwa Lissu si alijifanya anaweza basi yupo kutazama anguko lake. Hivi mtu yupo tayari kufanya maridhiano na chama pinzani unategemea atalingana na mtu aliyetayari kufa kwa ajili ya watanzania? Mbowe kashakuwa adui kitambo tusitarajie chochote
 
Mbowe kinachomtesa ni lile ANGUKO maana alijiamini kupita kiasi na alijua saccos yake haiwezi kumsaliti plus mfumo wa serikali pia ulimhakikishia ushindi. Hivyo Mzee yuko kwenye wakati mgumu wa kujitibu huku akiombea mabaya CHADEMA.
Kabisa kabisa....kakaa pembeni akifurahia...hii dunia hii,aisee
 
Ninapo muona mtu anamsifu mbowe kama meanasiasa makini namuona mtu huyo kama Hana uelewa wa mambo ya siasa,mbowe sio mpinzani ma Wala hata kuwa mpinzani,muda sio mrefu mtajua kuwa huyu mbowe ni mtu wa aina Gani.Muda si mrefu mbowe atajitokeza na kuwaacha midomo wazi wale wote walio muamini



Mbowe ni mtu wa deep state.
 
Umeelewa nilichoandika mkuu, I meant "huyo mbowe unaemuulizia kimoyomoyo anajisemesha kuwa Lissu si alijifanya anaweza basi yupo kutazama anguko lake. Hivi mtu yupo tayari kufanya maridhiano na chama pinzani unategemea atalingana na mtu aliyetayari kufa kwa ajili ya watanzania? Mbowe kashakuwa adui kitambo tusitarajie chochote
Ok sitaki na sitakaa niamini kama mwamba anaweza kufanya hivi ama atafanya hivi.. Sidhani
 
Mlishashinda uchaguzi na Lisu wenu pambaneni na hali zenu msimsumbue
Kawaacha mfanye lolote mtakalo bila kuwaingilia sababu mlisema kazeeka kapitwa na wakati apishe wengine mshike kawapisha
Mbona hasira sasa ya nini
 
Back
Top Bottom