johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Hili ni swali kwenu wanasheria
Je sheria inatoa mwanya kwa Freeman Mbowe kudai fidia ya kuchafuliwa kwa kuitwa gaidi endapo mahakama itamkuta hana hatia na kumtamka kuwa ni mtu safi?
Jumaa kareem!
Je sheria inatoa mwanya kwa Freeman Mbowe kudai fidia ya kuchafuliwa kwa kuitwa gaidi endapo mahakama itamkuta hana hatia na kumtamka kuwa ni mtu safi?
Jumaa kareem!