Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,787
Nianze kwa kumpongeza Mh Rais Samia kwa jinsi alivyoisuka Wizara ya mambo ya nje kwa mustakabali diplimasia ya taifa letu. Lakini Jana baada ya kutangaza uteuzi wao aliahidi kuwaapisha leo saa 4 asubuhi vuwanja vya Ikulu.
Ninachoomba kujua, Je wataapa Uwaziri kabla ya kuwa Wabunge kamili? Au wataapishwa haraka haraka bungeni kisha kukimbilia Ikulu kuapishwa?
Ninachoomba kujua, Je wataapa Uwaziri kabla ya kuwa Wabunge kamili? Au wataapishwa haraka haraka bungeni kisha kukimbilia Ikulu kuapishwa?