TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Hivi waTz ndipo tulipofikia huku kuanza kuhoji kwamba huyu aliyeteuliwa ni Mnzenji au mzenjibara tukiendelea kuendekeza hii dhambi ipo siku itatutafuna😂😂😂
Ha ha haVyovyote itakavyokuwa ila Mimi Kuteuliwa Balozi Libarata Mulamula kwa hiyo Wizara Muhimu kwa nchi na ya Kimataifa nimefurahi mno kwani huyo ni Mtaalam na Mbobezi hapo kama ilivyo kwa Mchezaji ' Playmaker ' wa Simba SC Mzambia Clatous Chota Chama.
Hii iko nje ya mada yangu mkuu.Huyu Mbarouk ni Mzenj?Naona mama kaongeza idadi ya wazenj kwenye baraza la mawaziri. Katibu mkuu kiongozi origin yake siyo Zenj kweli?
Wazenj ni watu wema sana hasa ukute kafia dini na msomi hawanaga makuu ukiolewa au ukioa huko zenji hata muda wa kuishi unakuwa mrefu sijui kwann? Kama hujaolewa tafuta mwanaume wakizanzibar wenye hizo sifa uje huku uanzishe uzi wako wa hao watu.
Dhambi ya ubaguzi ishaingia na nikosa kubwa alilotuachia mwendazakeHivi waTz ndipo tulipofikia huku kuanza kuhoji kwamba huyu aliyeteuliwa ni Mnzenji au mzenjibara tukiendelea kuendekeza hii dhambi ipo siku itatutafuna😂😂😂
Pia ajiandae kutumiwa mashimo yote mawili
..
Hilo wamerekebisha!!Nianze kwa kumpongeza Mh Rais Samia kwa jinsi alivyoisuka Wizara ya mambo ya nje kwa mustakabali diplimasia ya taifa letu. Lakini Jana baada ya kutangaza uteuzi wao aliahidi kuwaapisha leo saa 4 asubuhi vuwanja vya Ikulu.
Ninachoomba kujua, Je wataapa Uwaziri kabla ya kuwa Wabunge kamili? Au wataapishwa haraka haraka bungeni kisha kukimbilia Ikulu kuapishwa?