Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Kwa hiyo Ukiona mtu ananunua kilevi Cha Hivyo anakuwa na matatizo??.Siku naliye kutana naye liquor store moja huko Mbezi beach akinunua Valuer nikajua anatatizo mahali sio bure
Kwa hiyo Ukiona mtu ananunua kilevi Cha Hivyo anakuwa na matatizo??.Siku naliye kutana naye liquor store moja huko Mbezi beach akinunua Valuer nikajua anatatizo mahali sio bure
junior huyoo!anampga baba ake!!!kuna siku nilikuwa nimechill tu nyumbani na mjomba wangu, ni mdogo hivi ana miaka kama 7 hivi, akawa ananilalamikia mama ake anamchapa, nikawa namwambia mtoto wa kiume uvumilie hata ukipigwa usilielie, akaniambia kwani we ukipigwa hulii nikamwambia yes, sasa akawa ananipiga makofi ya mkono hivi kama utani nikawa namwambia nipige tena siumii akawa anapiga kwa nguvu zaidi lakini wapi
sasa nikawa busy na simu huku ananipiga sijui alipata wapi idea ya ku-improvise akaniwasha kofi la uso aisee kwa mara ya kwanza niliona nyota nyota, sikujua kama kofi huwa linauma kiasi hiko, nikasema sitakuja kumpiga mtu kofi la uso hata iweje maana kama mtoto tu inakuwa hivyo je mimi mtu mzima nikimlabua mtu.
So Mke wangu hata akiniudhi nampotezea tu, hakuna cha ngumi wala kofi maana yote yanauma sana, akiniboa zaidi namyima hela tu, hilo ni teso tosha. . .
Whateva drink your drinking defines you.Kwa hiyo Ukiona mtu ananunua kilevi Cha Hivyo anakuwa na matatizo??.
Valuer ni pombe ya kununua liquor store?tuanze hapo logically tuKwa hiyo Ukiona mtu ananunua kilevi Cha Hivyo anakuwa na matatizo??.
Acha kumuiga Smart GuyMambo yao tuwaachie wenyewe
Yule mkewe si ndo yule prophetess trizah? Yule nabii, na Sasa ameolewa na mzungu kitambo kabisaKuna interview moja alikuwa anahojiwa master j akasema imechukua miaka 10 kuvunja ndoa yake kwasababu mke wake alikuwa anaweka pingamizi hakutaka ndoa ivunjwe
Na mwaka huu ndio mwanamke ameridhia na utaratibu wa ndoa ya kikiristo kama mke na mme hawajakubaliana ndoa haivunjwi
Huwa kila baada ya miezi sita mnaitwa mmoja akisema hayupo tayari mnapewa miezi sita ya kujitafakari
Whatever language you choose to use, defines your educational background.Whateva drink your drinking defines you.
Stick to the content!!Whatever language you choose to use, defines your educational background.
Hakumpindua, alikuta washatengana. Na isue Huyo mrombo Ana mahasira yupo kama bipolar. Yule mke wake wa mwanzo Sasa ni nabii hapo daslam, na nadhani pia kaolewa na mzungu