Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,267
- 5,665
Mi binafsi sioni kama kuna uongo,maana mayahudi kwa Marekani wameshika wizara zote nyeti,ikiwemo yauhusiano wa kimataifa,sasa mkuu huoni kuwa wizara za mambo ya kimataifa kwa marekani kidunia ina impact kubwa sana na ina weza kufanya makubwa ulimwenguni,kaka mayahudi wana mtandao mkubwa sana duniani,jewsh lobbyKwamba Wayahudi ndiyo chanzo cha matatizo ya dunia na kumomonyoka kwa maadili ya Marekani.
Hili halijakaa sawa hata kidogo. Nakubali Wayahudi wana ushawishi mkubwa sana kwenye siasa ya Marekani na kweli wameharibu sana ile nchi; lakini ukweli utabaki kwamba Marekani imeanza kuharibika baada ya kupata uhuru.
Ubaguzi wa rangi, biashara ya utumwa, kupenda kumwaga damu za watu, ubaguzi wa kidini na kujali pesa kuliko utu vilikuwepo hata kabla ya Federal Reserve na Wall Street.