Je! Malaya ni mtu yupi?

Je! Malaya ni mtu yupi?

Malaya hana uhusiano wa kimapenzi. Kawaida anatumia mwili wake kutafuta pesa. Yaani malaya ni anayebadilisha pesa kwa ngono. Iwe mwanaume au mwanamke.

Je anaependa sana kutia/wa tuseme kila siku lazima apige show na zaidi ya watu watatu lakini bure bure bila kubadilishana na hela sio Malaya??
 
Hakuna mwanaume malaya. Msamiati huu ni sex selective. Ni kama neno mrembo. Hakuna Mwanaume mrembo! Kuna msichana au mwanamke mrembo vivyo hivyo hakuna Handsome girl. Hivyo kwa mwanaume lipo neno la kiswahili lenye kueleza mwanaume anaegonga hovyo au anaetumia mwili wake kingono kupata pesa!
 
Je anaependa sana kutia/wa tuseme kila siku lazima apige show na zaidi ya watu watatu lakini bure bure bila kubadilishana na hela sio Malaya??

Malaya kwa kingereza anaitwa prostitute/harlot. Sex addict, yeye anaweza kugegedwa na wanaume zaidi ya wawili kwa siku bila kulipwa muradi tu ameridhika.
 
Kwa mujibu wa wanaume wa kibongo mwanamke malaya ni atakayewaacha au kuwaumbua wanamwita malaya, au amemkosa bila kutegemea, au anahisi kuna mwenzie anapendwa zaidi yake na hana la kufanya (maneno ya mkosaji)

Hii ni maana nyongeza yenye lengo la kumtusi mwanamke fulani. Lakini kimantiki malaya ni Prostitute. Mtu yeyote anayetoa ngono in exchange for cash! Hata kama hajipangi mtaani Au mtu anaegawa uroda kwa wanaume kibao bila hiyana. Hayo ya kukataliwa na kumwita malaya huwa ni namna tu ya kijifurahisha kwa aliekosa.
 
Malaya hana uhusiano wa kimapenzi. Kawaida anatumia mwili wake kutafuta pesa. Yaani malaya ni anayebadilisha pesa kwa ngono. Iwe mwanaume au mwanamke.

Sasa Inakuwaje Pale Mtu Alikuwa Na Mpenzi Na Hajawai Kubadilishana Nae Ngono Na Pesa Siku Anamkuta Amesimama Na Mwanaume Mwingine Anamwita Malaya? Je? Anajuaje Kama Anataka Abadilishane Ngono Na Pesa? Je? Kutongozwa Tu Na Mwingine Yatosha Kumwita Malaya?
 
Wote ni malaya sio men au women ilimradi tu ana mahusiano na mtu zaid ya mmoja.

Bahati Nzuri Mimi Nimetembea Sana Nchi Hii Lakini Sijabahatika Kusika Mwanaume Anaitwa Malaya Zaid Zaid Unakuta Anasifiwa, Utasikia Aa Umemuona Yule Jamaa Ninoma Kwa Totozi Yani Ni Kama Wanamwonea Wivu Vile, Lakini Mwanamke Anatamkiwa Maneno Ya Ishala Ya Dharau Utasikia Yupi Yule! Achana Nae Malaya Sana Yule
 
Kutokama na maelezo yako, unamaanisha malaya ni mwanamke tu,


Na je mwanaume chovya chovya ni nani???
My apologies, lady. But...
60989193.jpg
 
Sasa Inakuwaje Pale Mtu Alikuwa Na Mpenzi Na Hajawai Kubadilishana Nae Ngono Na Pesa Siku Anamkuta Amesimama Na Mwanaume Mwingine Anamwita Malaya? Je? Anajuaje Kama Anataka Abadilishane Ngono Na Pesa? Je? Kutongozwa Tu Na Mwingine Yatosha Kumwita Malaya?

Hayo ni matusi tu! Mara ngapi nimeitwa mbwa, ina maana mimi ni mbwa? Take it easy,wakati mwingine tunasema maneno tusiyajua maana. Pengine uaminifu ndio unakosekana kwa huo uhusiano wenu.
 
Malaya kwa kingereza anaitwa prostitute/harlot. Sex addict, yeye anaweza kugegedwa na wanaume zaidi ya wawili kwa siku bila kulipwa muradi tu ameridhika.

Ahsante, Kwahiyo Yule Anakuwa Na Mpenzi Mmoja Wanakaa Mwaka Mmoja Miwilg Wanaachana Kwa Sababu Mbalimbali Anatafuta Mwingine Myezi 5, 6 Wanatibuana Anatafuta Mwingine Huyu Sio Malaya Sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom