Je! Malaya ni mtu yupi?

Je! Malaya ni mtu yupi?

katusyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
1,455
Reaction score
434
Binafsi nimewaza kwa upeo wangu nimeshindwa kupata ufumbuzi kutoka na maneno ya vijana mitaani, unakuta mtu alikuwa anamtongoza kesho anamkuta jamaa mwingine anamtongoza utasikia aa nimeshtuka yule msichana malaya sana.

Naombeni ufafanuzi wandugu;

Je, Malaya ni yule anaekubali kutongozwatongowa?

Je, ni yule aliebanduliwa na mwanaume zaidi ya mmoja?

Au kuna idadi anayotakiwa kufikisha kubanduliwa ndio aitwe malaya?

Na kwasababu lile tendo ni la siri je?

Utajuaje kabanduliwa na wanaume wangapi mpaka umwite malaya?

Msaada tafadhali namimi nisije nikamwita mtu malaya kuna ni makosa nikafungwa bure.
 
Hii naona kama ni marudio, iliwahi kujadiliwa hapa siku za nyuma kidogo...
 
Hii naona kama ni marudio, iliwahi kujadiliwa hapa siku za nyuma kidogo...
 
Ni yule mtu anaetumia mwili wake kama mahindi au bidhaa yoyote iliyoko sokoni.

Sio tukiendelea kuijadili kwa ajili ya faida ya wengine ambao hatukuiona iliyopita na ninaami nitapata jibu sahihi kutoka kwa watu ambao walishiriki mjadala huo
 
katusyo

Angalia KAMUSI itakwelezea vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Malaya ni mtu yeyote anayekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtu zaidi ya mmoja.
 
Kutokama na maelezo yako, unamaanisha malaya ni mwanamke tu,


Na je mwanaume chovya chovya ni nani???

kidume cha mbegu

kiitikadi kufanya ni sifa ila kufanywa kama kashfa flani, rejea matusi " wewe watom.bwa. nini" hapo utamkuta mwanamke anamwabia mwanamke mwenzie
 
Kwa mujibu wa wanaume wa kibongo mwanamke malaya ni atakayewaacha au kuwaumbua wanamwita malaya, au amemkosa bila kutegemea, au anahisi kuna mwenzie anapendwa zaidi yake na hana la kufanya (maneno ya mkosaji)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom