Je, Makonda kavunja mwiko?

Polisi ni wanadamu wa kawaida,
ni watoto wetu,baba zetu,wake zetu,waume zetu,wajukuu zetu,wakwe zetu..
tumewalea,somesha,wakuza..tunaishi nao,tushiriki nao ktk mambo ya kijamii..
wanastahili heshima,utu,haki,usawa...tuwapende,tuwajali,tuwakosoe,tuwaelimishe,tuwashirikishe,tuwasaidie...
 
Sioni mantiki katika hoja yako hii.Kama ni hivyo unaweza ukamwita Lema naye ni Shujaa.
Kwa wanaokujua na kufatilia hoja zako lazima wajue kwa nini unachukia Jeshi la Polisi.

Lema ni shujaa wa kuota.

Kwa mwenye ufinyu tu wa akili ndiyo atatia maneno "chukia", "penda" na upuuzi kama huo.

Hapa kuna "positive criticism" kwa wenye uelewa.

Natamani kuliona jeshi la polisi la mfano wa kuigwa.

Leo chadema mnalisifu jeshi la polisi? Ajabu kubwa sana, si nyie ndiyo wa kwanza kuliponda na kulipa majina yasiyo stahiki, mmesahau?
 
Unatoa tabasamu kwa mswahili mvivu asiyependa kufanya kazi? Wewe unafahamu chanzo cha vita ya majimaji?mjerumali aliwaletea wamatumbi mbegu za pamba walime ili wapate nguo.wakakataa kwamba kulima shambani ni utwana.
Nnaomba Alama Mohamed Said akupe kipande kidogo cha historia ya majimaji.

Kumbe ndivyo mnavyodanganyana!
 

Naam, umenena vyema kabisa na hiyo heshima inabidi iwe kubwa na itazidi ikiwa tu watafanya kila njia wawe mfano wa kuigwa.
 
Kuna tafiti zozote zilizoonyesha Azimio la Arusha ndo chanzo cha polisi kubadilika kiutendaji?
 
Ni kitendo cha kishujaa sana. Jwtz nao wako kikaangoni, askari wake wengi wanajifanya wababe kwa raia na barabarani, ukiwahoji wanaweza kukuchangia kukupiga, wanajenga ukuta na raia! Nidhamu ya uoga dhidi yao ma wananchi ndo kilichopo katikati!
Mtawasema wote hapo break hata mwenye nyumba mwenyewe hawezi
 

Nani kakwambia mimi chadema?Kuna mtu anaingia JF na Kadi?
angalia ulichoandika.

Hapa hatuongeleai wala hatuchambui kama kuna ukweli au uongo kwa aliyosema Makonda, hapa tunaongelea ile kuweza kutamka tu aliyoyatamka, kwangu mimi ni ushujaa tosha.
Nami nikakujibu;
Sioni mantiki katika hoja yako hii.Kama ni hivyo unaweza ukamwita Lema naye ni Shujaa.
Kwa wanaokujua na kufatilia hoja zako lazima wajue kwa nini unachukia Jeshi la Polisi.

Naona umevimbiwa amani na utulivu sasa umeanza kutukana Jeshi.
 
Nani kakwambia mimi chadema?Kuna mtu anaingia JF na Kadi?
angalia ulichoandika.


Nami nikakujibu;


Naona umevimbiwa amani na utulivu sasa umeanza kutukana Jeshi.
Kama hujalewa basi unaandika kama mlevi na unachokisoma hukielewi.

Hilo tusi liko wapi?

Punguani wahed.
 
Nilicho kiona hapa ni chochea mifarakano, kwa nini mifarakano na mifarakano inamnufaisha nani? Ndio ile kauli ikulu ni mzigo mzito.

Na washawasha!
 
Yeye kawa muovu kuliko hao polisi
 
Faizafoxy siku hizi anapatikana Jukwaa la mawaidha. Huku kasepa jumla sijui kwanini?
 
Hii mada haina tija kwa taifa hata kidogo, mtu anaetuhumiwa kwa ufisadi na rais kumwita shujaa. Mleta mada una lengo gani na nchi hii?
 
Nyie wenyewe ndo mmewafundisha hayo leo utuambia je hayo,iko siku yenu ya kugeukwa,ole wenu siku mkosee mtapata taabu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…