Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Kwani wewe neno la (kuingiliana) unalichukulia kivipi? neno kuingiliana linahusu Mwanamme kumuingilia mwanamke au kufanya nae mapenzi Sex ndio alivyokusdia kusema Mwenyeezi Mungu kwani wewe unajuwa maana ya kuingiliana? umesoma mpaka darasa la ngapi shule? au ndio umefika Divisheni 5? Nenda shuleni kamuuliza mwalimu wako wa kiswahili ni nini maana ya kumuingilia mwanamke mwalim wako atakujibu ipasavyo . Usilete maneno ya pumba hapa.
Hawa vijana wa Mulugo wanaweza kukufanya ujute kwanini ulisoma mawazo yao! Ila ni kwenda nao hivyo maana tukiwatenga watakuwa si sehemu ya jamii!