Je, mahusiano ya mbali yanaweza kudumu?

Je, mahusiano ya mbali yanaweza kudumu?

Apige chini maaana hata binti atapata mwingine
 
aendelee na
e kama wana aminiana mm wangu yuko denmark copenhagen mwaka wa 3 ila show nagonga kama kawa
 
Kuwa na imani naye,mm nimekaa miaka3 tukiwa mbali lakini hakuna kilichoharibika,likizo zote anakuja na field anafanyia Tz. Kitu kikubwa fanya mawasiliano kuwa nyenzo kuu ya mapenzi yenu,hutakaa uwaze mchepuko wala upuuzi wowote. Be a confident man.
 
Umesema 'mchumba' hvyo naamini mna mipango mingi tu ya baadae. wewe nenda tu na life kama linavyoenda usifanye maamuzi ya kumwaga chini pia usimwamini 100% pia usifunge milango kwa marafiki wengine wa kike eti unamchumba wako yupo china
 
Apige chin kigezo n nn!? Akiona hana sbbu ya msingi bas aache kuwaza ujinga huo
 
Umesema 'mchumba' hvyo naamini mna mipango mingi tu ya baadae. wewe nenda tu na life kama linavyoenda usifanye maamuzi ya kumwaga chini pia usimwamini 100% pia usifunge milango kwa marafiki wengine wa kike eti unamchumba wako yupo china

Hapo unamfundisha kuchepukaa loool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom