Je, mahusiano ya mbali yanaweza kudumu?

Je, mahusiano ya mbali yanaweza kudumu?

Disposal

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
285
Reaction score
78
Jamani kuna jamaa yangu anaomba ushauri, yeye yupo mwaka wa tatu chuo kikuu cha Dar na mchumba wake kamaliza sasa kapata Scholarship ya kwenda kusoma China sasa je aendelee kumsubiri ama apige chini?

Mana anahisi hatafika naye mbali alafu binti ni mlokole, wana MMU naombeni kumsaidia kwa hili wale wenye gaiety na haya makitu.

Natanguliza shukrani.
 
sasa kupata safari ya China ndio ampige chini? Asubiri kwanza hiyo kupigana chini itatokea yenyewe automatically. Ila sio lazima distance love iwe mbaya what if huyo dada akamtafutia na jamaa chuo huko halafu akamvuta wakaendelea na shule na mapenzi yao. Sio kila kitu tukiwaze negative hujui Mungu amewapangia nini kwenye maisha yao
 
mwambie na yeye aombe scholarship ya huko china wakawe pamoja
 
Ni rahisi sana kusema hakuna shida yoyote ile ila kwa mwanamke au hata na kwa mwanaume. Mazingira yanapelekea sana kukushawishi ukawa na mpenzi mwingine ama kuchepuka.
Distance ni mbaya sana, naongea kutokana na uzoefu nilionao, mazingira ya mbali ni hatari sana ktk mahusiano.
 
Ukiniambia mahusiano ya mbali yanachangamoto ntakuambia ndio kama hauta boresha mawasiliano ipasavyo,na kingine swala la kumuacha bila kufanya jaribio sio zuri,acha aende na umchunguze itakusaidia kujua ukweli ni upi,binadamu tunatofautiana,jaribu kumpa uwaminifu kwanza.mengine yatafuata.
 
We baba kuruthumu umewahi kuwa na wa mbali? Mie siwezi aisee, nakusaliti hasubuhi na mapema.
kuruthumu mbona yuko mbali na mapnz yanaendelea..Kusaliti kupo..Ila hata nisaliti mara mia Upendo wangu kwake uko pale pale..Ila kabla ya kuchepuka uwa napiga prayers kwanza
 

Attachments

kuruthumu mbona yuko mbali na mapnz yanaendelea..Kusaliti kupo..Ila hata nisaliti mara mia Upendo wangu kwake uko pale pale..Ila kabla ya kuchepuka uwa napiga prayers kwanza

Hahahaaaaa! Prayer tena wakati unasaliti!! Leo naona unanitumia miziki tu
 
Tatz upweke ndo uta7bsh amsaliti,,,
hlo amini kbs hat kam anampenda ila distance ndo itampa hamu ya kupgwa pasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom