johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Mwaka 2015 tulishuhudia usumbufu wa kiwango fulani hasa wakati wa kurejesha fomu kwa wagombea wa urais, barabara zilifungwa na baadhi ya shughuli kulazimika kusimama.
Safari hii zoezi hili linafanyikia Dodoma na kuna chama kimeshawatangazia wafuasi wake " watata watata" kuwa mgombea wao atatimba Dodoma siku ya nane nane kuchukua fomu, ndio nauliza maandamano yanaruhusiwa?
Eti wenyewe wanapaita Dodoma golgota, Ufipa bhana.
Maendeleo hayana vyama!
Safari hii zoezi hili linafanyikia Dodoma na kuna chama kimeshawatangazia wafuasi wake " watata watata" kuwa mgombea wao atatimba Dodoma siku ya nane nane kuchukua fomu, ndio nauliza maandamano yanaruhusiwa?
Eti wenyewe wanapaita Dodoma golgota, Ufipa bhana.
Maendeleo hayana vyama!