MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Mwenyezi Mungu ailaze riho ya Marehemu Kanimba Mahali pema peponi...Amen
Naomba kufahamu mazingira ya kifo cha kanumba na ukweli kuhusu utetezi wa Luu...Je ni kweli Lulu anahusika!au ni ulevi aliokuwa nao mwendazake?au ni mchanganyo wa madawa na pombe inayosemekana ya kuwa mwendazake alitumia kwa wakati ule?na je ni kweli umri wa Lulu unaweza kuwa utetezi kwenye makosa ya mauwaji?
Sina mengi ila mitarejea...nami natafuta tafsiri mbalimbali za sheria hapa nilipo
Naomba kufahamu mazingira ya kifo cha kanumba na ukweli kuhusu utetezi wa Luu...Je ni kweli Lulu anahusika!au ni ulevi aliokuwa nao mwendazake?au ni mchanganyo wa madawa na pombe inayosemekana ya kuwa mwendazake alitumia kwa wakati ule?na je ni kweli umri wa Lulu unaweza kuwa utetezi kwenye makosa ya mauwaji?
Sina mengi ila mitarejea...nami natafuta tafsiri mbalimbali za sheria hapa nilipo