Je Liwale hakuna Chimbo,?

Je Liwale hakuna Chimbo,?

Dah! Pale kichwa cha chini kinapo amua kuchukua kibabe majukumu ya kichwa cha juu! Acha kabisa.
 
Wewe hujajua namna ya kuongea na madereva bodaboda au wahudumu wa gesti kubwa. Hao ndio wenye database ya machimbo yote, wacheki.
Kuna sehemu nilienda huko Liuli nyasa nikatafuta code kwa boda nikapooza engine
 
Hakika nimeamini nmezeeka,nipo gest siku ya Tano Leo,Kuna bar tatu hapa hapa madem wa kutosha lakini sijawaza hata kuchukua
Hadi mhudumu mmoja akaniuliza kaka ukisikia upweke wapo,nikamjibu sawa.
 
Back
Top Bottom