Je Liwale hakuna Chimbo,?

Je Liwale hakuna Chimbo,?

Nipo Liwale wiki sasa, nimekuwa menyonge na kuanza kuuchukia huu mji.

Sisi wengine hatuwezi kukaa sehemu bila kuingia chimbo la wakubwa la mambo yetu yale.

Sasa mwenyewe kujua anipe code hata dm
Liwale kuna kila kitu mkuu 😅 tatizo labda bado hujapata mtu wa kukupa code sahihi. Subiri wenyeji waje DM!
 
Back
Top Bottom