screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,902
- 15,928
Kwa wale Mawakala wa Mitandao ya simu wanaotumia Lipa Namba bilashaka watakuwa wamekumbana na kashkashi za matishio ya Mitandao ya simu kuhusu . Kwa sasa mawakala kwa asilimia kubwa wamekuwa wakitumia Lipa No kwa ajili ya kutoa pesa kutokana na demand ya wateja kupata unafuu wa Makato kiasi cha kuathiri mapato ya Serikali, je inawezekana Mitandao imebanwa na Serikali kuhusu Mawakala kutumia Lipa No?