Nataka kuamini unachosema. Wanawake wakimpenda mtu hawako straight. Wanazunguka sana..,Alikua anakutaka siku nyingi kukuomba hela geresha tu
Kwa hiyo nijiandae kupakua Asali .Anakuja kwanza kukuonesha kifuniko kimoja cha asali kama kimefunika vizuri,ukisema kimefunika vizuri basi utaambiwa ukitoe uonje kidogo asali,baada ya hapo kinachofuata andaa nauli yake,alafu deni inakuwa...........!!!
Duh haya bana nimechoka aiseeeSiyo parefu sana mkuu ni buku 3 .
Bila shaka Mkuu maana ushailipia, mkuu usisahau itikadi za kiume....kama alinunua dozen hiyo atakayo kuja nayo mvue kwa kuirarua....ulete mrejesho na kapicha sasa kama ulivyoleta selediKwa hiyo nitafute lodge mkuu ?
Hatuna ujasiri wa kusema live kama nyieNataka kuamini unachosema. Wanawake wakimpenda mtu hawako straight. Wanazunguka sana..,
Kama hayoMatatizo gani mkuu
Kapicha kake nitakaleta kwenye uzi wa wakubwa stay tune mkuu.Bila shaka Mkuu maana ushailipia, mkuu usisahau itikadi za kiume....kama alinunua dozen hiyo atakayo kuja nayo mvue kwa kuirarua....ulete mrejesho na kapicha sasa kama ulivyoleta seledi
Nilishawahi kutana na demu mahali fulani ktk maongezi akanibwagia moyo wake kwangu. Nikidhani ni utani kumbe mwenzangu alikuwa serious. Ni mpaka baadaye sana nikagundua alikuwa ana maanisha!!!Hatuna ujasiri wa kusema live kama nyie