h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,532
- 3,316
Habari wakuu,
Nimewaza na kutafakari kwa kina kwanini kusiwepo na chombo maalumu kitakachosimamia usajili wa magari pamoja na leseni zake zote zikiwemo za udereva n.k
Hichi chombo kiwe ndani au chini ya SUMATRA. Kiitwe TANZANIA DEPARTMENT OF MOTOR VEHICLES.
TRA ijikite kwenye masuala yanayohusu kodi tu, maana suala la ukusanyaji wa kodi linachangamoto nyingi ukizingatia ukubwa wa nchi na kuwafikia wafanyabiashara wote inabidi kazi kubwa ifanyike.
Tuwapunguzie mzigo TRA wabaki na jukumu moja tu la kuhakikisha wanatengeneza mipango mizuri ya kukusanya kodi kwa watu wengi zaidi ili kupunguza mzigo unaowaelemea walipa kodi wachache hapa nchini.
Nini maoni yako msomaji?
Nimewaza na kutafakari kwa kina kwanini kusiwepo na chombo maalumu kitakachosimamia usajili wa magari pamoja na leseni zake zote zikiwemo za udereva n.k
Hichi chombo kiwe ndani au chini ya SUMATRA. Kiitwe TANZANIA DEPARTMENT OF MOTOR VEHICLES.
TRA ijikite kwenye masuala yanayohusu kodi tu, maana suala la ukusanyaji wa kodi linachangamoto nyingi ukizingatia ukubwa wa nchi na kuwafikia wafanyabiashara wote inabidi kazi kubwa ifanyike.
Tuwapunguzie mzigo TRA wabaki na jukumu moja tu la kuhakikisha wanatengeneza mipango mizuri ya kukusanya kodi kwa watu wengi zaidi ili kupunguza mzigo unaowaelemea walipa kodi wachache hapa nchini.
Nini maoni yako msomaji?