Nipo huku kwa Biden najaribu kuangalia fursa za kuleta nyumbani ila ni vizuri kujua demands za soko la nyumbani.
Naomba maoni yenu juu ya bidhaa, biashara au huduma zinazoweza kuletwa Tanzania toka USA.
Currently nafanya issue ya kupokea oda ya vitu mbali mbali toka kwa watu kisha kuwatumia kwa mkataba/makubaliano maalum maana mtaji mkubwa ni uaminifu.
Currently nafanya issue ya kupokea oda ya vitu mbali mbali toka kwa watu kisha kuwatumia kwa mkataba/makubaliano maalum maana mtaji mkubwa ni uaminifu.
Nipo huku kwa Biden najaribu kuangalia fursa za kuleta nyumbani ila ni vizuri kujua demands za soko la nyumbani.
Naomba maoni yenu juu ya bidhaa, biashara au huduma zinazoweza kuletwa Tanzania toka USA.
Currently nafanya issue ya kupokea oda ya vitu mbali mbali toka kwa watu kisha kuwatumia kwa mkataba/makubaliano maalum maana mtaji mkubwa ni uaminifu.