Bunge la kumi lilipoanza ccm walibadili kanuni ili kamati zile za kudumu ambazo huwa zinakuwa chini ya upinzani zisiende cdm kwa kuwa cdm ni theat kwao!katika kufanikiwa hilo kanuni zilizoiruhusu cdm kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni zilibadilishwa ile zile kamati ziende kwa mamluki.katika hili vibaraka mapesa,mzee wa zege na kabwe walipigiwa kura za vishindo na ccm!je unadhani angekuwa lissu angepigiwa kura na ccm kumbuka kuwa mabere pamoja na mustapha akunay wakati wanagomnea uspika na unaibu uspika hawakupigiwakura na ccm hata moja pia hata cuf waliipigia ccm.je kwa hili zitto si kibaraka wao?naomba mawazo yenu.
Unawanted product kwenye chama chetu (kumbuka MTei anataka wakristo wawe wengi kwenye chama chake)
nyinyi ndio wale wale mwakyembe alipokuwa mp wa kawaida mkasema ina maana jk ameshndwa kumpa hata unaibu uwaziri !
Kapata unaibu oooh jk anamziba mdomo.
Hivi ww kweli hamnazo,huyo lissu tangua aingie bungeni hapo kafanya nini?hapo cdm hakuna kichwa kama zitto,huyu jamaa huwa anachosema ndio anachofanya'huyo mbowe mikwara mingi kurudisha shangingi halafu kalifata kimya kimya'mbunge gani wa cdm ambae kakataa posho kwa vitendo kama sio zitto'wewe tatizo udini chadema udini uko wazi kabisa wanataka wachungaji na mapadri tu,
Zitto ni kibara wa jk, aliwasalitwenzake pale Udsm wakakamatwa enzi za the late Gervas Mkili. Alikuwa anaatumiwa na Malecela.Zitto ni mtu opportunistic sna na anapenda sna madaraka.Hivi ww kweli hamnazo,huyo lissu tangua aingie bungeni hapo kafanya nini?hapo cdm hakuna kichwa kama zitto,huyu jamaa huwa anachosema ndio anachofanya'huyo mbowe mikwara mingi kurudisha shangingi halafu kalifata kimya kimya'mbunge gani wa cdm ambae kakataa posho kwa vitendo kama sio zitto'wewe tatizo udini chadema udini uko wazi kabisa wanataka wachungaji na mapadri tu,
hivi ww kweli hamnazo,huyo lissu tangua aingie bungeni hapo kafanya nini?hapo cdm hakuna kichwa kama zitto,huyu jamaa huwa anachosema ndio anachofanya'huyo mbowe mikwara mingi kurudisha shangingi halafu kalifata kimya kimya'mbunge gani wa cdm ambae kakataa posho kwa vitendo kama sio zitto'wewe tatizo udini chadema udini uko wazi kabisa wanataka wachungaji na mapadri tu,
Gamba at Work. CHADEMA itawanyoosha sana Mwaka huu mpaka 2015 wengi watakufa kwa Pressure
Alisomea wapi huo uzoefu!!!