nodetz
Senior Member
- May 4, 2024
- 173
- 156
Habari wana jf.
Nimekua nikisoma makala mbali mbali na material mbali mbali uko mtandaoni nimekua nikitaka kujua na kufatilia je maisha yanakua bora na salama pale unapo amua kuwa mtu mwema sana (nice guy) hapa duniani.
Leo nimeona nililete mbele yenu wana jf nisikie mitazamo yenu
Pia niweke msingi wa point yangu.
Nikua simaanishi kuwahamasisha watu kuwa wabaya au wenye tabia mbaya kwa jamii ila najaribu kutaka kujua yale tuliyofundishwa na wazee wetu nikweli kwa dunia yaleo yanatusaidia maana kila nikiangalia background za watu maarufu na wenye mfanikio katika tasinia mbalimbali nakuja kugundua wengi wao wako na mambo ya hovyo ufanya kabla au baada ya kupata mafanikio yao na mambo haya wanayafanya nyuma ya pazia ila wakija mbele kwenye camera na mic za waandishi wanajaribu kutuonyesha wao ni wema ila ukweli hauko ivo.
Sihitaji kumention mtu hapa coz nitaamisha mada.
Swala la msingi je kuwa mtu mwema katika dunia hii ya leo inasaidia kutufanya kuwa na maisha bora na yenye mafanikio katika nyanja zote.
Nimekua nikisoma makala mbali mbali na material mbali mbali uko mtandaoni nimekua nikitaka kujua na kufatilia je maisha yanakua bora na salama pale unapo amua kuwa mtu mwema sana (nice guy) hapa duniani.
Leo nimeona nililete mbele yenu wana jf nisikie mitazamo yenu
Pia niweke msingi wa point yangu.
Nikua simaanishi kuwahamasisha watu kuwa wabaya au wenye tabia mbaya kwa jamii ila najaribu kutaka kujua yale tuliyofundishwa na wazee wetu nikweli kwa dunia yaleo yanatusaidia maana kila nikiangalia background za watu maarufu na wenye mfanikio katika tasinia mbalimbali nakuja kugundua wengi wao wako na mambo ya hovyo ufanya kabla au baada ya kupata mafanikio yao na mambo haya wanayafanya nyuma ya pazia ila wakija mbele kwenye camera na mic za waandishi wanajaribu kutuonyesha wao ni wema ila ukweli hauko ivo.
Sihitaji kumention mtu hapa coz nitaamisha mada.
Swala la msingi je kuwa mtu mwema katika dunia hii ya leo inasaidia kutufanya kuwa na maisha bora na yenye mafanikio katika nyanja zote.