Je! Kuvuta Sigara ni Dhambi?

Sigara hiyo
 
Computer ina madhara, simu ina madhara unalijua hilo, je nikikujulisha utaacha kutumia mkuu? au tunayapima madhara kwa kipimo gani mkuu?
Kama nikijiridhisha ina madhara sitaitumia.
Maana itakuwa dhambi kwangu, lete ushahidi mkuu.
 
",baadhi ya maulamaa" hili neno linatosha kuonyesha kuwa hilo ni jambo ambalo hawajakubaliana maulamaa wote , hivyo linabaki kuelea hewani tu , anaesema dhambi shauri yake na anaesema makruhu shauri yake
 
Uvutaji wa sigara ni dhambi.
Dhambi ni nini?
Dhambi ni uasi wa sheria.
Sheria ni nini?
Sheria ni makato yote yaliyoamriwa na muumbaji. i.e, amri kumi za Mungu.
Sheria inaweza kuwa spiritual au natural.
Mfano sheria zote zinazosema, usiwe na Miungu mingine, Sanamu usiziabudu, Usilitaje bure jina la Muumabaji na ikumbuke sabato ni natural, na nyinginezo ni natural. Yaani hata ukila sana ukavimbiwa ni dhambi kwa sababu unauharibu huu mwili.
Mtume Paulo anasema, je hamjui kuwa miili yenu ni hekalu la roho mtakatifu, mtu akiuharibu hekalu hilo ambalo ni mwili wako Mungu naye atamharibu mtu huyo. Matendo yote yenye kuharibu mwili ni dhambi sio sigara tu na vinginevyo vyote.
 
Kama nikijiridhisha ina madhara sitaitumia.
Maana itakuwa dhambi kwangu, lete ushahidi mkuu.
Computer ina toa radiation ambazo kiafya ya binadamu haifai , wamejaribu kupunguza kiwango chake lakini hawakuweza kuondoa yote , madhara ya zile radiation ni kama ifuatavyo
1.Cancer
2.Miscarriage
3.Birth defects
Wataalamu wanashauri ili kupunguza madhara kuna njia mbili
1.Kupunguza muda wa kuitumia
2.kuweka mbali wakati unaitumia

Hitimisho :hakuna asiejua ubaya wa cancer mkuu nakushauri acha computer ni dhambi
 
Every Intoxic is halam in Islam.
UNAPOTAKA KUTUMIA KITU ANGALIA FAIDA NA HASARA ZAKE. KAMA FAIDA NI NYINGI UNAWEZA TUMIA ILA KAMA HASARA NI NYINGI BASI NI HARAM KUTUMIA.
 
Nitakapo jiridhisha kuwa ni kweli nitafuata ushauri kwa wataalamu wa Afya.
Kama wataniambia niache kutumia basi na nitaacha.
Kumbuka kuna vitu huwa ni hatari kama utavitumia kwa kupita kiwango
Hata maji safi, ukiyanywa kupita kiwango chake yana madhara pia kwa Afya ya binadamu.

Imeandikwa
" muwe na kiasi kwa kila jambo "
 
",baadhi ya maulamaa" hili neno linatosha kuonyesha kuwa hilo ni jambo ambalo hawajakubaliana maulamaa wote , hivyo linabaki kuelea hewani tu , anaesema dhambi shauri yake na anaesema makruhu shauri yake

Lakini anayesema dhambi yuko pazuri duniani kuliko anayesema makruhu. Mwisho wa siku anayefahidi ni kampuni za sigara!
 
Kwanini hiyo formular usiitumie kwenye sigara ni kwa kiwango gani cha matumizi sigara inakuwa haramu? maana tunaona watu wanazeeka wako fit na bado wanakula sigara saaafi
 
Lakini anayesema dhambi yuko pazuri duniani kuliko anayesema makruhu. Mwisho wa siku anayefahidi ni kampuni za sigara!
Siku zote mzalishaji anafaida ata kampuni ya computer inafaidi hivyo hilo sio tatizo kabisa, kama jambo linatafasiri nyingi wacha zisemwe ili kila mtu achague anapoona ni sahihi zaidi
 
Kwanini hiyo formular usiitumie kwenye sigara ni kwa kiwango gani cha matumizi sigara inakuwa haramu? maana tunaona watu wanazeeka wako fit na bado wanakula sigara saaafi
Sioni manufaa ya kuvuta sigara, kwani ni lazima kufanya kila kinachofanywa na wengine ?

Wewe unavuta Sigara ?
 
Hakuna kitu inaitwa makuruhu kwenye quran na hadithi. Ukitaka kujua kitu ni halali au haram na ukakosa kwenye quran na hadithi basi unacho takiwa kufanya ni kupima hicho kitu kwa akili.

Kama faida ya hiyo kitu ni kubwa kuliko hasara basi hiyo kitu itakua ni halali.

Na hasara ya hiyo kitu ikiwa ni kubwa kuliko faida basi hiyo kitu itakua ni haram.

Kwa hiyo hasara ya sigara ni kubwa kuliko faida, kwa hiyo sigara ni haram.

Na sigara ina dhuru afya ya mtumiaji. na quran inasema:
{{Wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo.}} [Al-Baqarah, 2: 125]
 
Kumbe waislam imeandikwa sigara Ni Haram ,ukinisaidia hili andiko nitashukuru Sana ,ukiwa huna andiko tubu maana alkadhibil haraam walaukana mizaha ,uongo Ni Haram hata Kama Ni mzaha.
 
Dhambi ni

1. Kufanya jambo lisilompendeza Mwenyezi Mungu.

2.Kufanya jambo ambalo lina hatarisha hali yako au ya jirani yako.
Yaani jambo lisilokupendeza wewe au Jirani yako.
2.kuendesha gari kunahatarusha Hali yako na jirani yako kwa maana hiyo nayo Ni dhambi .
Binadamu tunapenda kujitungia maandiko yetu
 
Kumbe waislam imeandikwa sigara Ni Haram ,ukinisaidia hili andiko nitashukuru Sana ,ukiwa huna andiko tubu maana alkadhibil haraam walaukana mizaha ,uongo Ni Haram hata Kama Ni mzaha.

Nimesha taja hapa juu Shajaratul Maloona kwenye Quran, kwa hiyo usijifanye mjuaji sana!
 
Je nikivuta na mwili wangu usiharibike inakuaje
 
Kwahyo hata sigara inahitaji kiasi si ndio
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…